MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, nimepata usumbufu wa kupata cheti cha kuzaliwa cha mwanangu mwenye mwaka mmoja.
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia ntampa hela ya maji si chini ya elfu 80.
Ni pm tuongee, sitakii kwenda tena huko napoteza muda kutengeneza hela bora muda huo nitengeneze hela zingine nimpe atakayenisaidia , sichukulii kama rushwa.
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia ntampa hela ya maji si chini ya elfu 80.
Ni pm tuongee, sitakii kwenda tena huko napoteza muda kutengeneza hela bora muda huo nitengeneze hela zingine nimpe atakayenisaidia , sichukulii kama rushwa.