1. Wana fao la kujitoa ndiyo. Ila interest wanayokupa kwa ajili ya michango yako ni chini ya 1% .
2. Kulipwa pensheni ni hadi ufikishe miaka 55 au ustaafu kwa lazima ufikishapo miaka 60, na uwe umechangia zaidi ya miaka 15. Chini ya muda huo hata kama ni tofauti ya siku moja, hulipwi pensheni.
3. Mikopo tunatoa kwa wale wenye umri wa kuanzia miaka 55 tu, labda uwe mwanasiasa (Mbunge, Waziri etc) na cheo hicho kinaweza kutuathiri sisi PSPF kwa maamuzi utakayoyatoa. Mkopo una riba ya 12% kila mwaka.