Msaada:Postal code/ZIP na country codendo nini?

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Dec 22, 2013
4,160
3,368
Nikiwa najaza details zangu wakati nikiomba kazi online au scholarship huwa nakwamia kwenye hicho kipengele hicho cha kujaza postal code/ZIP na country code. Mwenye kujua naomba anitajie.
 
navyofahamu Country code za tanzania ni +255, kenya +254, more details ingia google utapata country codes za nchi zote dunian, kuhus postal code hata mimi mgeni labda wenzangu watafunguka zaid
 
NINAVYOFAHAMU POSTAL CODE NI NAMBA AMBAZO KILA POSTA NCHINI INAZO NA HIZI NAMBA HUWA ZINATUMIKA KATIKA KUTRACK MIZIGO UNAYOTUMIA KUPITIA SANDUKU LAKO LA POSTA HUSIKA,KAMA UMEJAZA MFANO POSTAL CODE ZA KIGOMA 44551 BASI WALE WANAOTUMA BARUA AU PARCEL WATAUTRACK MZIGO HADI UFIKE KIGOMA MFAKO UMEKWAMA MWANZA AU ARUSHA WATAKWAMBIA MZIGO UKO ARUSHA INATUMIKA KAMA GPS WANAO ELEWA ZAIDI WAONGEZEE
 
Ni Mfumo ambao unasaidia urahisi katika ku process barua.

Mfano. Kitongoji/Mji Mmoja unaweza kuwa na majina zaidi ya mawili ya mitaa inayofanana.
Kwa hiyo mitaa hiyo itatofautishwa kwa post code zake. Post code huwa ni unique.
Kwa Tanzania system hiyo bado kwa sasa ila TCRA wanaishughulikia.
Weka 00255 kwa sasa.
 
Ni Mfumo ambao unasaidia urahisi katika ku process barua.

Mfano. Kitongoji/Mji Mmoja unaweza kuwa na majina zaidi ya mawili ya mitaa inayofanana.
Kwa hiyo mitaa hiyo itatofautishwa kwa post code zake. Post code huwa ni unique.
Kwa Tanzania system hiyo bado kwa sasa ila TCRA wanaishughulikia.
Weka 00255 kwa sasa.
Asante sana kaka
 
Ni Mfumo ambao unasaidia urahisi katika ku process barua.

Mfano. Kitongoji/Mji Mmoja unaweza kuwa na majina zaidi ya mawili ya mitaa inayofanana.
Kwa hiyo mitaa hiyo itatofautishwa kwa post code zake. Post code huwa ni unique.
Kwa Tanzania system hiyo bado kwa sasa ila TCRA wanaishughulikia.
Weka 00255 kwa sasa.
Mengi uliyosema hapo juu ni kweli la kusema kuwa bado hazipo si kweli karibia mikoa,wilaya na mitaa yote ina Postal code......mhusika atembelee kwenye website ya TCRA zipo mbona.....tena si hiyo 00255
 
Ningekuwekea hilo file la list ya Postalcode zote sema hapa linakataa kuwekwa sijui ni kubwa sana?
 
Ningekuwekea hilo file la list ya Postalcode zote sema hapa linakataa kuwekwa sijui ni kubwa sana?


Mkuu nashukuru sana nimeshaingia website ya TCRA na nimeshazipata. Asante sana. Labda sijaelewa kwamba ukitakiwa kujaza hiyo postal code unajaza ya mkoa tu au unajaza kuanzia ya mkoa hadi mtaa?
 
Mkuu nashukuru sana nimeshaingia website ya TCRA na nimeshazipata. Asante sana. Labda sijaelewa kwamba ukitakiwa kujaza hiyo postal code unajaza ya mkoa tu au unajaza kuanzia ya mkoa hadi mtaa?
Jaza ya mkoa tu maana mitaa anwani zake hata jazieleweki kwa wenzetu haya washayamaliza siku nyingi maana karibu kila mitaa inafahamika na nyumba zote zina namba

Kila la heri mkuu!!
 
Back
Top Bottom