galileo zach
Senior Member
- Nov 6, 2015
- 116
- 72
Habari wadau ,naombeni msaada katika hili,niko kwenye mahusiano nanyuma nimepitia mengi mpaka kukosa mke kisa pombe yani siwezi kabisa kuacha pombe yani ni heri nimuache mwanamke ila sio pombe yani kwangu pombe ndio imekuwa kama rafiki yangu wa ukwel yani siwezi niko radhi niache hata mechi (kwichikwichi)ila sio pombe .
Nifanyaje niweze kushinda hili wadau?
Nifanyaje niweze kushinda hili wadau?