Hebu funguka kidogo, nini kimekupelekea kusema hivyo? Namashaka na ninyi wawili.
Ahahahah! mkuu upo deep sana.
Mkuu si unajua "Makalio ya sufuria hayaogopi moto".
Namimi najitutumua mpaka nipate majibu yatakayo niridhisha.
si nilisema mimi mchana!
yani walahi unaweza kukomaaa mishipa ya shingo na vidole vinakuwa na sugu plus kumaliza wino wa veyboard wlahi unamwambia mwanao wa kumzaa,
unabaki ''enh sasa mkuu hapo inabidi ujitahid kufanya mara kwa mara,manake haya mambo yanataka kujiandaa kimwili na kiakili,enh hata style pia muwe mnabadilisha sio kila siku ile ile!halafu jaribu kuwa mbunifu na mwambie mpenzi wako nae asiruhusu mzoee!"
kudadadeki!nabadili ID muda si mrefu nakuja na verified user!
CC Asprin, @fp, gfsonwin, Kaunga Dark City , Kongosho , King'asti Kaizer The Boss na wengine woooote wenye watoto wenye kuelekea huu umri wa ubarobaro na ucheksister!
dah! Ndibalema umenifikirisha sana i see!:A S 39:
Humu majukwaani unaweza ukajikuta unatoa ushauri wa mapenzi kwa mtoto wako wa kumzaa.
Usitafute sababu kumsaidia mtu, toa ushauri wa mashiko kama unavyoweza kumshauri mtoto wako kuhusu haya mambo.
Nilitoa angalizo tuu mkuu! pole kwa kukukwaza mkuu.
Humu majukwaani unaweza ukajikuta unatoa ushauri wa mapenzi kwa mtoto wako wa kumzaa.
Thats why am never serious hapa jamvini. If you take me serious you are lost!si nilisema mimi mchana!
yani walahi unaweza kukomaaa mishipa ya shingo na vidole vinakuwa na sugu plus kumaliza wino wa veyboard wlahi unamwambia mwanao wa kumzaa,
unabaki ''enh sasa mkuu hapo inabidi ujitahid kufanya mara kwa mara,manake haya mambo yanataka kujiandaa kimwili na kiakili,enh hata style pia muwe mnabadilisha sio kila siku ile ile!halafu jaribu kuwa mbunifu na mwambie mpenzi wako nae asiruhusu mzoee!"
kudadadeki!nabadili ID muda si mrefu nakuja na verified user!
CC Asprin, @fp, gfsonwin, Kaunga Dark City , Kongosho , King'asti Kaizer The Boss na wengine woooote wenye watoto wenye kuelekea huu umri wa ubarobaro na ucheksister!
dah! Ndibalema umenifikirisha sana i see!:A S 39: