Mimi ni kijana mwenye miaka 21 nimekaa na mpenz wangu zaidi ya miaka minne..na katika faragha uwa nampa haki yake kisawasawa, lakin toka nimeachana nae kila nikichukua mwanamke mwngne mashne yang inagoma kusimama sijui tatzo ni nn? Lakn kila nikimuwaza yy mashne inasmaa vizur tu..msaada jaman