Ally Msangi
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 608
- 120
wadau, kuna mjanja ameiba simu yangu.. Is there any posibility yakuweza kujua who has it. Cos my phone IMEI is registered. Je? Kuna uwezekano wowote wakuweza ku trace nani anatumia hyo simu at the moment. cos i remember usajili wa line ulikuwa na madhumuni yakuzuia wizi wa cmu.