Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
-----Ninaulizia Jacksi Plaza nimeambiwa ipo nyerere road.Anayejua tafadhali anielekeze ipo eneo gani na imepakana na jengo lipi.Najaribu kusearch google ili nione ipo eneo gani sioni.
Tafadhali anayejua anifahamishe hiyo Jacksi plaza ipo eneo gani ukitokea tazara.
Mods liache hili bandiko kwa muda hapa, maana nafahamu si eneo lake.
Tafadhali anayejua anifahamishe hiyo Jacksi plaza ipo eneo gani ukitokea tazara.
Mods liache hili bandiko kwa muda hapa, maana nafahamu si eneo lake.