Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
why BOYS are like this?
because!!!!!!
why BOYS are like this?
amelia kuanzia jana saa 10 jioni mpaka saa 11 asubuhi, nalala, naamka namkuta analia nimetoka kwenda kazini hajalala, na mchana huu napiga simu analia tu BP imeshuka
Mmmmh we sasa unamshauri au unamvutia kwako?duu meeen!Mi cjaona ki2 kigumu hapo,ila hakika kupenda ni kubaya kwani huyu mdogo wako anaweza akawa amempenda jamaa toka rohoni. Kwangu mi kwa ushauri wa BURE mi ningemwambia aachane naye kwani hata yule aliyezaa naye ni mwanamke kama yeye na ujuwe mpk kazaa naye ni kwamba walishakaa vizuri kbs ktk starehe zote na ukumbuke kabisa ya kwa hakunaga AWALI MBOVU hata cku moja,mshauri tu aachane naye. Ingali ni ngumu sana kumuingia akilini lakini cha kufanya apige MOYO konde aendelee na mambo yake kwani kama ana NIA ya kuolewa hakika atampata MME mzuri zaidi ya yule,MI MWENYEWE NINA UMRI WA 22year na bila shaka anaweza akaja 2kawa Mr/Mrs. Nimtakie Ucku Mwema wenye Njozi Njema!
amelia kuanzia jana saa 10 jioni mpaka saa 11 asubuhi, nalala, naamka namkuta analia nimetoka kwenda kazini hajalala, na mchana huu napiga simu analia tu BP imeshuka
<br />mianaume mingine mijinga kabisa,mwanamke haachwi hivo,kumwacha mwanamke kuna staili yake bana.
Wako pamoja tangu 2002 mpaka leo, hajawahi kuwa na mwanume mwingine zaidi ya huyo, kwa ufupi hamjui mwanaume mwingine zaidi ya huyo mchumba wake. tangu mdogo ameumia sana
Meaning??why BOYS are like this?
Are like what???
Mimi mpaka sasa nashidwa kuelewa japo sisi tumeamua kuachana naye, japo jana usiku kuna rafiki yake kaja nyumbani akasema anamwambia huyo mama mtoto usifikiri mimi nitakuoa, lea mtoto wako akishajiweza namchukua uendelee na maisha yako, anamwambia umeniharibia sana maisha yangu.Sometimes, I______________________men, argh!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Joyceline:
It seems like huyo jamaa doesnt care for your sister as much as you and/or your sisters think he did/does. It's ok , and noble for him to want to take
care of his child but that doesnt justify
1. Yeye kumficha mdogo wako habari za mtoto from beginning
2. Yeye kumnyang'anya hilo gari kama alishampa toka mwanzo
Unless she is ready to be the second best to the baby mama, aachane nae!
Meaning??
nafikiri kinachomfanya alie kutwa nzima ni hiyo hali ya uchanga wake,
katika kuwajua wanaume, alipokuwa nae alidhani dunia yote iko mikononi mwake!,
Ndo ukubwa huo, hopefully the next case she will be more of little pressure!!!!!!!!!!!