kidE Meshack
Member
- Jan 8, 2013
- 92
- 7
Habariii wana JF,
Plz naomben mnisaidie Mawazo....coz nko na girl kwa miezi 6 sasa, tushajiwekea mipango kibao....lakini hivi karibuni mwenzangu anataka kuhamia upande wa pili wa Maisha...anataka kumrudia Mungu, so....akifanya hivo means mi na yeye ndo bhaaaaasi.... Kakomaa saaana bt mwsho wa siku memwambia Fanya unachoona kitakupa furaha....
Kwahiyo...., ili niendelee kua nae na mie niokoke?
Au nimuache aendelee na upande wa pili wa Maisha??
Ni kweli kama unaishi 'Holy Life' huwez kabisa shirki mapenz kwa namna moja au nyingne??
Naumia saana coz Nampenda, daah
#Mhanga ....
Plz naomben mnisaidie Mawazo....coz nko na girl kwa miezi 6 sasa, tushajiwekea mipango kibao....lakini hivi karibuni mwenzangu anataka kuhamia upande wa pili wa Maisha...anataka kumrudia Mungu, so....akifanya hivo means mi na yeye ndo bhaaaaasi.... Kakomaa saaana bt mwsho wa siku memwambia Fanya unachoona kitakupa furaha....
Kwahiyo...., ili niendelee kua nae na mie niokoke?
Au nimuache aendelee na upande wa pili wa Maisha??
Ni kweli kama unaishi 'Holy Life' huwez kabisa shirki mapenz kwa namna moja au nyingne??
Naumia saana coz Nampenda, daah
#Mhanga ....