Msaada Please!

Msaada Please!

Emilia

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
266
Reaction score
86
Habari wakuu! Eti ni simu gani ambayo inakuwa na ile ya kurecord calls, yaani wakati unaongea na mtu unaweza kurecord conversation.

Kuna zile Samsung za zamani E 250
zilikuwa na hiyo service(sijui mnaitaje kitaalam) ndiyo niliyokuwa nayo ikaja ikaharibika,nikatafuta mpaka leo sikupata tena simu yenye
hiyo. Plz Help!
 
kwa jina inaweza kua inaitwa simply "call recorder" google yaweza kupa fununu zaidi au tusubilie wataaaluuuma wamwage data hapa uwanjani
 
Inategemea una tumia simu gani mkuu byút waweza kwenda google ukaserch best callrecorder...nina trial version..mwenye kitu signed anaweza nisaidia link
Regards,..
 

Attachments

  • shot_069_2013_02_26.png
    shot_069_2013_02_26.png
    16.4 KB · Views: 26
  • shot_070_2013_02_26.png
    shot_070_2013_02_26.png
    18 KB · Views: 27
  • shot_071_2013_02_26.png
    shot_071_2013_02_26.png
    15.4 KB · Views: 25
  • shot_072_2013_02_26.png
    shot_072_2013_02_26.png
    11.9 KB · Views: 28
  • shot_073_2013_02_26.png
    shot_073_2013_02_26.png
    11.9 KB · Views: 28
  • shot_074_2013_02_26.png
    shot_074_2013_02_26.png
    13.8 KB · Views: 32
kuna nokia.kitu kama 5233.inauwezo .or nichek na 0716512719 nikutumie pic ya cm ndo nayo tumia
 
Mi ninavyojua ni kila simu inayoweza kurecord basi inaweza kurecord voice call. Inatakiwa unapopiga simu ikipokelewa nenda katika option chagua record utarecord bila tabu, vile vile unaweza kufanya hivi kwa cm inayoingia baada ya kuipokea.
 
Back
Top Bottom