never mention a wknec uliyonayo til nw. Sema wknec in work na soln ambayo umeshaijua 2dat wknec
Sema weakness ya kutunga ambayo haihusiani na kazi kama vile unaweza ukasema kuwa wewe ni bahili n.k. Ila vitu kama ulevi usithubutu hata kidogo. Taja tu vile ambavyo havihusiani moja kwa moja na kazi unayoomba na uonyeshe unayo mikakati ya kujirekebisha.
never mention a wknec uliyonayo til nw. Sema wknec in work na soln ambayo umeshaijua 2dat wknec
Unampotosha mwenzio bure. Kama huna uhakika ama hujui ni bora ukae kimya, si lazima uchangie.
No one is perfect/hakuna binadamu aliyekamilika!!! Unapomshauri aseme hana udhaifu ina maana kuwa yeye ni mkamilifu kwa 100%???
Kila mtu ana udhaifu wake. Mimi binafsi udhaifu wangu ni kuwa kila ninapokutana na bint basi lazima nimtazame sura na kifuani kwanza.
Nilihudhuria semina moja ya wajasiliamali pale udbs-udsm, iliyofanyika wakati udsm kinaadhimisha miaka 50 ya uhuru pamoja na kuanzishwa kwake, mmoja wa watoa mada alitufundisha kuwa ni lazima tujue udhaifu wetu. Akatueleza kuwa baadh ya ma-interviewers, akiwemo na yeye, huwapiga chini waombaji kazi wanaosema kuwa wao hawana udhaifu. Alituambia kuwa mtu akisema hana udhaifu wa aina yoyote basi mtu huyo hajitambui yeye mwenyewe.
Na pia tulipokuwa chuoni, malimu wetu wa communication skills alitufundisha hiyo kitu, weakness and strength.
Nilihulizwa hilo swali in my first interview straight from college and nilisifiwa nimejibu vizur kuliko wote pale na I get the job.
Nakumbuka nilijibu " I think my weakness is based on my oral communication skills in english language as up to know I ddnt like the way I speak and I try to my best to work on it through reading books and watching movies, documentaries and try to speak with foreigners so that to get familiar with new words and master it, jamaa walicheka but wakanipa job,,,
Nilihulizwa hilo swali in my first interview straight from college and nilisifiwa nimejibu vizur kuliko wote pale na I get the job.
Nakumbuka nilijibu " I think my weakness is based on my oral communication skills in english language as up to know I ddnt like the way I speak and I try to my best to work on it through reading books and watching movies, documentaries and try to speak with foreigners so that to get familiar with new words and master it, jamaa walicheka but wakanipa job,,,
Ha ha ha, haujanikwaza ndugu kwanza nashukuru wanavyonitembeza duniani mpaka basi, yaan since 2010 nazan oral imekuwa nzuri kuzidi writing maana ndo lugha ya kazi japokuwa mwanzo ulikuwa mgumu na nina imani nimebadilika sana as nimejua vitu vingi namshukuru Muumba hadi niliosoma nao chuo wananigwaya as ukinikuta na tai yangu natoka job kwenye kagari kangu kadogo nakula kiyoyozi mbona utajua sina kasoro he he he, ngoja niwambie kitu english sio ishu kivile kwenye proffesional worlds. But sio mbaya nina trip ya ghana nikitoka likizo, nitajitahid nidake misamiat mingine kazaa as now nipo holiday namuuguza b mkubwa, kwanza mniombee apone kwanza ndo la muhimu
khee we mhaya? 2jakuuliza yote hayo, by da way hongera.
wakola waitu, nop, namu inspire dogo ajue everything is possible na kizungu sio ishu as mwajiri anataka ufikie malengo. Yaan anataka a ifanyiwe kazi iwe b kwa kufata standard operating procedures and ethics. Haijalishi utafanya vipi ila malengo yafikiwe... So just kumchangamsha dogo asiogope ujobless ni wa mpito tu, so kama umemaindi sory, as sikujua kama nakujib wewe
thank u for ur critical discourse analysis.
Kaka mbona unazidi kutumia misamiati migumu. Mwenzangu we HKL nini? mimi pcm so mambo ya misamiati ya kitasha utata.