Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,755
- 2,303
Habari wana jukwaa, Naomba kuuliza tu kwa wanaoifahamu vizuri taratibu ya kufunga ndoa ya kanisa Catholic. (RC)
Ndugu yangu anataka na ndoto yake ni kufunga ndoa ya kanisa Catholic, Lakini hajabatizwa wala hakuwa muumini wa kanisa hilo hapo mwanzo Japo analipenda, Lakini inasemekana kwamba kanisa Catholic lina masharti mengi kwenye utaratibu wa kufunga ndoa na ubatizo. Je ni kweli?
Please kwa wanaojua nini cha kufanya ili atimize adhima yake na kuwa muumini wa kanisa hilo?. Anataka kufunga ndoa mapema mwakani.
Mwongozo kwa wanaojua.
Ndugu yangu anataka na ndoto yake ni kufunga ndoa ya kanisa Catholic, Lakini hajabatizwa wala hakuwa muumini wa kanisa hilo hapo mwanzo Japo analipenda, Lakini inasemekana kwamba kanisa Catholic lina masharti mengi kwenye utaratibu wa kufunga ndoa na ubatizo. Je ni kweli?
Please kwa wanaojua nini cha kufanya ili atimize adhima yake na kuwa muumini wa kanisa hilo?. Anataka kufunga ndoa mapema mwakani.
Mwongozo kwa wanaojua.