Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 828
...mbona mimi ulitaka kunizungusha mpaka nikaingia gharama nisizotarajia? au zilikuwa pombe?mimi nikijisikia kutoa natoa tu kiroho safi hakuna cha promis ya ndoa wala mzinga!
...mbona mimi ulitaka kunizungusha mpaka nikaingia gharama nisizotarajia? au zilikuwa pombe?mimi nikijisikia kutoa natoa tu kiroho safi hakuna cha promis ya ndoa wala mzinga!
mmmh!ila uwe hujaonjwa kweli!!!Karibu, ila sharti ni kutoonjana
'u need to test ur shoes be4 buying them 2 avoid buying oversize' ndio msemo wao huu my dia!!
Walionionja hawakuwa wachumba
Smile achana naye kwani yeye aliolewa akiwa bikra. kama kawaida ya ke kutaka kila mtu awe kama yeye baada ya kupoteza ile diamond (bikra)mapenzi ya siku hizi wanaume wanapenda kugegeda first.......
its a new fashion in town mwaya
ila kuna kamsemo kamoja ka Smile kuwa its better to test the guy first before...... akija mwenyewe atakudadafulia zaidi
Smile achana naye kwani yeye aliolewa akiwa bikra. kama kawaida ya ke kutaka kila mtu awe kama yeye baada ya kupoteza ile diamond (bikra)