Msaada Please: Hii imekaaje? (Kwa wanawake tu)

Msaada Please: Hii imekaaje? (Kwa wanawake tu)

Ila nahisi ungewaalika na ile jinsia nyingine cos nao wanahusika in one way or another
they would be in a good position to give you the good reasons

Asante kwa kutualika.

Tatizo lenu nyinyi wadada wanaume mnaowatamani mnawapa papuchi bila masharti yoyote. Tukija sisi wengine mnatupa masharti tuwaowe kwanza, sasa na sisi machale play, hivyo tunatoka mbio mbaya mno tunajua mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia. Yaani mimi kukutongoza wewe mara ya kwanza tu wewe tayari unaniambia nikuoe? hapo natoka mbio kama Usain Bolt.
 
Watch out Mamndenyi,

Shelf life yake ni between 18 - 39 yrs! Expires at 40 and above. Anyway, napita tu sikupaswa kuchangia hii thread kwa sababu is for ladies only. Nimekuwa gate crusher!

Usisababishe waliovuka 40 wakaanza kulia(esp ambao hawajaolewa)
 
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.
Japo umetutenga, ila hofu kubwa ya wanaume wa sasa ni kutokana na ugumu wa kupata watoto unaotokana na matumizi ya viungo kabla ya wakati au hali ya afya za wahusika, pili ni kutokana na uharibifu unaofanya sehemu husika fikiri kijana tangu miaka 9 au 10 sasa 25 yaani ana uzoefu wa miaka 15 au 20 katika fani unategemea kunako ndoa kumebaki kitu. Ndio maana kigezo cha kwanza cha kuhalalisha ndoa kwa wazazi ni mimba, wewe huoni kwenye kumbi za sherehe za ndoa kila muolewa amebeba kichanga tumboni huo ni ushauri toka hata kwa wazazi wenyewe.
 
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.

Kwa kweli hata mi kipindi kile ilibidi niachane na wewe kwa sababu uko too sexy, but sio wify material..
 
Asante kwa kutualika.

Tatizo lenu nyinyi wadada wanaume mnaowatamani mnawapa papuchi bila masharti yoyote. Tukija sisi wengine mnatupa masharti tuwaowe kwanza, sasa na sisi machale play, hivyo tunatoka mbio mbaya mno tunajua mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia. Yaani mimi kukutongoza wewe mara ya kwanza tu wewe tayari unaniambia nikuoe? hapo natoka mbio kama Usain Bolt.

Yaani waharibifu wanapewa bila masharti kuzingatiwa kisa wamejenga masex body.. waoaji wanapewa masharti kama ya kujiunga shule za serikali. Pia wanachunwa huku wakiahidiwa huduma hadi ndoa nani wa kubaki miaka ya leo.
 
ahaaa mwanaume wa kuoa nadhani utamjua tu! kugegedana kitu gani bwana hata kuku wanagegedana! mwanaume wa kuoa wala hana time kiviile na hayo mambo. atapenda kukujua na kukufahamu vizuri wewe mtu hakujui hata jina la pili , hajui hata dini yako anakuambia mambo kibao ....huyo akuombe tu uamue umpe au vipi aache kudhalilisha neno ndoa!mi nashukuru sijawai kuombwa kwa jina la ndoa!

umenikosha bibie!
 
Duh! Leo@Smile umekuja kivingine,hata Siamini!

mm mwenyewe nimeangalia mara mbili mbili, nisiweze kuamini kirahisi, kumbe Smile sometimes upo fair eehh, mm nakuonaga bandidu kinoumanouma!
 
Last edited by a moderator:
its not such a big deal!
unafanya mapenzi kwa kuwa yu feel it sio kwa kuwa unataka au uitumie kama a bait kwa mchumba!
anaweza akasubiri na mpka akaoa!lakini akishapata akawa wa ajabu vile vile!
la msingi ni vile wewe unajisikia!
WITH OR WITHOUT MARRIAGE,love making is in your mind!
twist mawazo yako kidoooogo!sijakwambia ufanye ili wakuoe!NOPE !NOPE!fanya kwa kuwa yu feel it!IF NOT!ACHA!na hii si kwa sababu unataka aliye serious na ndoa,but HUJISIKII KUFANYA hata na yule anayesema yuko tayari kwa ndoa!
hatutoi miili yetu kwa kuwa tu tunataka tuolewe!WE JUS FEEL LIKE DOING SO!

yes indeed! ubagegedana kwa starehe sio in order to get a ring bana....waambie ndio maana mnaona as if u doing men a faboir kuwapa papuchi zenu....gegedwa becoz u wana enjoy wirh the guy
 
Jamani mbona mimi sijakuomba papuchi.Nakusubiri wakupige vibuti wote mwisho uwe wangu.
 
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.
Si uwaambie wewe ni bado bikira? sasa kama uliwapa wengine wakatoboa na kubembea wao unawakatalia si wanakuona zoba?. Sera hizo uwe nazo tangu mwanzo sio kuibuka nazo tu kimtindo
 
tupa kule mdada wanaume wako wengi ukiona tuu anaekuuliza penzi kwanza huyo si muoaji unatakiwa kuwa makini saana.
 
Ni vyema na uendelee kuwa hivyo,ila napenda tu kujua unafanya hivyo coz ni msimamo wako binafsi kwmb ni malengo yako ktk maisha yako ya ubinti ? Au uko forced na imani ya dini?au ni fear tu ya kuogopa kutumika?
 
nikuulize hao wanaokuja unawakubalia wote just because unataka kuolewa au kuna mmoja ambaye nawe moyo umeridhia.
and how do they start with nataka kukuoa thing.
Do you start as friend au intention ya ndoa inasemwa mwanzoni.
Nina wasiwasi wanajua uko desperate ndio maana wanaingia kwa gear ambayo wanajua unapenda kuisikia.

haya about kufanya mapenzi kabla; ni mtazamo tu. Mimi kwa umri na exprience sidhani sana naweza kukubali kuoana bila kujuana vizuri. Lakini bado swala la kutoa papuchi it has to be mutual feeling kiasi kwamba kama kuna issues au kutoridhiana mwenzangu aweze kwenda mbele au mimi niende mbele; "mpaka kifo kitutenganishe", l dont take it lightly.

Kaunga naunga mkono hoja yako
 
its not such a big deal!
unafanya mapenzi kwa kuwa yu feel it sio kwa kuwa unataka au uitumie kama a bait kwa mchumba!
anaweza akasubiri na mpka akaoa!lakini akishapata akawa wa ajabu vile vile!
la msingi ni vile wewe unajisikia!
WITH OR WITHOUT MARRIAGE,love making is in your mind!
twist mawazo yako kidoooogo!sijakwambia ufanye ili wakuoe!NOPE !NOPE!fanya kwa kuwa yu feel it!IF NOT!ACHA!na hii si kwa sababu unataka aliye serious na ndoa,but HUJISIKII KUFANYA hata na yule anayesema yuko tayari kwa ndoa!
hatutoi miili yetu kwa kuwa tu tunataka tuolewe!WE JUS FEEL LIKE DOING SO!

Nimekupata teacher, well said.
 
usi prioritize idea yakuwa'' Mrs'',kwa sababu mtu anapokufuata hicho ndio unacho muonyesha,ili afanikiwe inabidi a join hiyo idea lakini sio kutoka moyoni, maana sio kilicho mleta.

Kufikia hatua ya kuwa mrs, inabidi mchukue mda kidogo ilimvue mask (usiri wa mabo yenu kabla ya kukutana).
wanaume wengi hawapendi kusubiri mapenzi(scientific fact:hii ni kwa sababu ya make up yao),maamuzi ya hili (ku do au la) yako kwako.

njia rahisi ya kutoka hapo ni hii;
-Ingia kwenye relationship as friendly relationship( a true,fair and honest relationship,not with a marriage goal and not feeling him(lasting after him))
-sustain this relationship as long as you can!no SEX!.If he falls in love he will wait.
-Let love come naturally do not race after it!
 
Back
Top Bottom