mimi ushauri wangu ni kwamba tulizana tu ..wewe kitulize ipo siku kitapata
mimi ushauri wangu ni kwamba tulizana tu ..wewe kitulize ipo siku kitapata
angalizo:-
naomba nichangie kwa kupinga hoja...."kwa wanawake tu" ..huu ni ubaguzi coz munayoyaongelea yanatuhusu na sie wanaume pia...mungekuwa munaongelea vitu kama kansa ya ziwa na cervical cancer kidogo ningewaelewa cause ni mambo ya jinsia tofauti na yangu ila unapoongelea wanaume lazma tuje nasi tujitetee.
utetezi:-
kwanini na wewe unataka uolewe bila kuonjwa..what if sio mtamu kwahiyo nibebe gunia la misumari till death do us apart?...hatutaki kununua bidhaa pasipo kuhakiki ubora wake coz sikuhizi soko limejaa takataka za kina hu ju ntao.
nikuulize hao wanaokuja unawakubalia wote just because unataka kuolewa au kuna mmoja ambaye nawe moyo umeridhia.
and how do they start with nataka kukuoa thing.
Do you start as friend au intention ya ndoa inasemwa mwanzoni.
Nina wasiwasi wanajua uko desperate ndio maana wanaingia kwa gear ambayo wanajua unapenda kuisikia.
haya about kufanya mapenzi kabla; ni mtazamo tu. Mimi kwa umri na exprience sidhani sana naweza kukubali kuoana bila kujuana vizuri. Lakini bado swala la kutoa papuchi it has to be mutual feeling kiasi kwamba kama kuna issues au kutoridhiana mwenzangu aweze kwenda mbele au mimi niende mbele; "mpaka kifo kitutenganishe", l dont take it lightly.
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.
Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.
havina expire date lakini.
ahaaa mwanaume wa kuoa nadhani utamjua tu! kugegedana kitu gani bwana hata kuku wanagegedana! mwanaume wa kuoa wala hana time kiviile na hayo mambo. atapenda kukujua na kukufahamu vizuri wewe mtu hakujui hata jina la pili , hajui hata dini yako anakuambia mambo kibao ....huyo akuombe tu uamue umpe au vipi aache kudhalilisha neno ndoa!mi nashukuru sijawai kuombwa kwa jina la ndoa!
Watch out Mamndenyi,
Shelf life yake ni between 18 - 39 yrs! Expires at 40 and above. Anyway, napita tu sikupaswa kuchangia hii thread kwa sababu is for ladies only. Nimekuwa gate crusher!
ndo nimesikia kwako leo