Msaada Please: Hii imekaaje? (Kwa wanawake tu)

Msaada Please: Hii imekaaje? (Kwa wanawake tu)

Power G

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
3,884
Reaction score
1,200
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.
 
wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.

sorry kwa wanawake tu!!!
 
mapenzi ya siku hizi wanaume wanapenda kugegeda first.......
its a new fashion in town mwaya
ila kuna kamsemo kamoja ka Smile kuwa its better to test the guy first before...... akija mwenyewe atakudadafulia zaidi
 
Last edited by a moderator:
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.

Ila nahisi ungewaalika na ile jinsia nyingine cos nao wanahusika in one way or another
they would be in a good position to give you the good reasons
 
mapenzi ya siku hizi wanaume wanapenda kugegeda first.......
its a new fashion in town mwaya
ila kuna kamsemo kamoja ka Smile kuwa its better to test the guy first before...... akija mwenyewe atakudadafulia zaidi
Shosti, wanaume wa siku hizi neno "uchumba' wanalitumia kama chambo cha kutunasa sie wadada. Ukiruhusu kila anayekuja na hiyo gia ya uchumba kugegeda mbona itakuwa hatari tupu!!
 
Wanawake/wadada wenzangu, naomba mnisaidie katika hili tatizo linalonikabili ambalo naona linazidi kuwa sugu kwa sasa; Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata wachumba wengi tu wanaodai wana lengo la kuishi nami kama mke na mme baadaye. Tatizo ni kwamba kila mmoja hutaka "kuonja" na nikimtolea nje "husepa" na kukata mawasiliano na mimi kabisa.

Wanawake/wadada wenzangu wapenzi, ninyi mnakabiliana vipi na hili tatizo? Natamani kuwa "mrs" lakini kwa mwendo huu naanza kuhisi kuwa nitakuwa "miss" wa kudumu.




Ucshangae bbye, ndo walivyo ila kuwa makini koz anayetaka kukuoa kweli hatojali atakusubiri.... Ukiona kakukimbia ujue alitaka ngono 2.. So vumilia atakuja mr ryt na uwe uasali.. Ucjibweteke my dia.. All the best..
 
angalizo:-
naomba nichangie kwa kupinga hoja...."kwa wanawake tu" ..huu ni ubaguzi coz munayoyaongelea yanatuhusu na sie wanaume pia...mungekuwa munaongelea vitu kama kansa ya ziwa na cervical cancer kidogo ningewaelewa cause ni mambo ya jinsia tofauti na yangu ila unapoongelea wanaume lazma tuje nasi tujitetee.

utetezi:-
kwanini na wewe unataka uolewe bila kuonjwa..what if sio mtamu kwahiyo nibebe gunia la misumari till death do us apart?...hatutaki kununua bidhaa pasipo kuhakiki ubora wake coz sikuhizi soko limejaa takataka za kina hu ju ntao.
 
mapenzi ya siku hizi wanaume wanapenda kugegeda first.......
its a new fashion in town mwaya
ila kuna kamsemo kamoja ka Smile kuwa its better to test the guy first before...... akija mwenyewe atakudadafulia zaidi
ahaaa mwanaume wa kuoa nadhani utamjua tu! kugegedana kitu gani bwana hata kuku wanagegedana! mwanaume wa kuoa wala hana time kiviile na hayo mambo. atapenda kukujua na kukufahamu vizuri wewe mtu hakujui hata jina la pili , hajui hata dini yako anakuambia mambo kibao ....huyo akuombe tu uamue umpe au vipi aache kudhalilisha neno ndoa!mi nashukuru sijawai kuombwa kwa jina la ndoa!
 
nikuulize hao wanaokuja unawakubalia wote just because unataka kuolewa au kuna mmoja ambaye nawe moyo umeridhia.
and how do they start with nataka kukuoa thing.
Do you start as friend au intention ya ndoa inasemwa mwanzoni.
Nina wasiwasi wanajua uko desperate ndio maana wanaingia kwa gear ambayo wanajua unapenda kuisikia.

haya about kufanya mapenzi kabla; ni mtazamo tu. Mimi kwa umri na exprience sidhani sana naweza kukubali kuoana bila kujuana vizuri. Lakini bado swala la kutoa papuchi it has to be mutual feeling kiasi kwamba kama kuna issues au kutoridhiana mwenzangu aweze kwenda mbele au mimi niende mbele; "mpaka kifo kitutenganishe", l dont take it lightly.
 
angalizo:-
naomba nichangie kwa kupinga hoja...."kwa wanawake tu" ..huu ni ubaguzi coz munayoyaongelea yanatuhusu na sie wanaume pia...mungekuwa munaongelea vitu kama kansa ya ziwa na cervical cancer kidogo ningewaelewa cause ni mambo ya jinsia tofauti na yangu ila unapoongelea wanaume lazma tuje nasi tujitetee.

utetezi:-
kwanini na wewe unataka uolewe bila kuonjwa..what if sio mtamu kwahiyo nibebe gunia la misumari till death do us apart?...hatutaki kununua bidhaa pasipo kuhakiki ubora wake coz sikuhizi soko limejaa takataka za kina hu ju ntao.

hapo kwenye utetezi umenichekesha saana ila sasa si hadi umpate huyo mtamu otherwise unless utaishia kuonjwa na kuonja bidhaa za wenzio...
by the way marriage ni zaidi ya kuonjwa Ati.............??
 
ahaaa mwanaume wa kuoa nadhani utamjua tu! kugegedana kitu gani bwana hata kuku wanagegedana! mwanaume wa kuoa wala hana time kiviile na hayo mambo. atapenda kukujua na kukufahamu vizuri wewe mtu hakujui hata jina la pili , hajui hata dini yako anakuambia mambo kibao ....huyo akuombe tu uamue umpe au vipi aache kudhalilisha neno ndoa!mi nashukuru sijawai kuombwa kwa jina la ndoa!

ila kwa gia nyingine huwa unaingia kingi
 
nataka ushauri toka kwa wanawake wenzangu waliokwisha kukutana na kadhia hii mbinu waliyotumia wakafanikiwa kuitatua.

ahahahahaaaaaa...kwenye biblia kuna mstari unasema "mtazameni chungu mkajifunze njia zake"...sasa wewe unataka kupata uzoefu wa waanga wenzako badala ya kuupata uzoefu wa wahusika wenyewe hasa na hapa ni sie wanaume "kwanini tunataka kula/kuonja kabla ya kuoa"...kama sijakosea...women r from mars n men from jupiter...

Sasa ukitaka kujua kwanin jupiter tupo hivo...njoo utuulize jupiters ukiendelea kuwauliza mars unaweza kuambiwa "hata sie hatujuwiii"...jk aliwahi kuulizwa na wazungu kwann afrika ikiwamo tz yako pamoja na utajiri wake wooote bado haiendelei kiuchumi akajibu hata yeye hajuiiii....kaaa humo.
 
alafu magalasa kibao utaenda mzimamzima utakutana na mambo usiyoyapenda
 
Back
Top Bottom