hii ni siku ya 2 now ps2 yangu nikitumia ikifika dk 5-10 na kuendelea ina freeze after dat tv ina noise then ps2 inakata kwenye TV signal kama mtu aliyeizima wakati still iko on!! huwa natumia usb games so no one can tel me dat reason ni cd coz hata isipokuwa na kitu chochote kile hata ukiwasha ukiacha kwenye menu itaenda tym den ina freeze!! any help??