Msaada pc

Msaada pc

Joenh

Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
45
Reaction score
53
Habari wana jamvi . samahanini sana pc yangu imezima ghafa tuu . ni kwa mda sasa haitumiki mara kwa mara. Ni deli na ina run dual operating system window ten na ubuntu . sasa imezima haiwaki . indicator za power huwaka kama kawa ila screen huwa black . kwa anaejua tatzo ni nini ? Naomba anisaidie ili niweze kwenda kwa fundi kurekebisha . au ndo imekufa nifanye mpango wa kununua mpya ?
Asanteni
 
Ngoja nisubirie majibu hapa, maana ya kwangu nimeiweka kwenye vyuma chakavu baada ya kupata tatizo kama lako
 
Habari wana jamvi . samahanini sana pc yangu imezima ghafa tuu . ni kwa mda sasa haitumiki mara kwa mara. Ni deli na ina run dual operating system window ten na ubuntu . sasa imezima haiwaki . indicator za power huwaka kama kawa ila screen huwa black . kwa anaejua tatzo ni nini ? Naomba anisaidie ili niweze kwenda kwa fundi kurekebisha . au ndo imekufa nifanye mpango wa kununua mpya ?
Asanteni
Huwa ina tatizo la kuchemka?( overheating).. au wakati imekuzimikia ilikua imechemka sana?
 
Huwa ina tatizo la kuchemka?( overheating).. au wakati imekuzimikia ilikua imechemka sana?
Hapana haina kabisa . wakati imezima ilikuwa hata haitumiki . baada ya kumaliza chuo matumizi yake yalipungua . sasa juzi nilitaka kuitumia imegoma kuwa . mlio wa feni inasikika , taa za betri zinawaka na chaji inapokea . tatzo ni screen ndo hubaki kama imezika tuu hata mwaka wowote hautokei
 
Hapana haina kabisa . wakati imezima ilikuwa hata haitumiki . baada ya kumaliza chuo matumizi yake yalipungua . sasa juzi nilitaka kuitumia imegoma kuwa . mlio wa feni inasikika , taa za betri zinawaka na chaji inapokea . tatzo ni screen ndo hubaki kama imezika tuu hata mwaka wowote hautokei
Kama una access ya monitor karibu ichomeke kisha uwashe uone kama itadisplay kwenye monitor pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom