Linjeketu jr
Senior Member
- Jan 21, 2019
- 103
- 71
Kama unatumia kadi ya benki unaenda kuomba benki statement ya kipindi ulipojiunga na paypal utaikuta hiyo code ndiyo inarudi kwenye paypal site na kuendelea na kuactivate paypal yako. Kila la heri MkuuNilikwama kupata passcode ya kuactivate paypal yangu hadi leo sijawahi kuangaika nayo.
Mkuu labda na mimi nichomekee swali langu hapo, ulipataje passcode ya paypal?


nikitaka kulipia nalipia vizuri tu.