Msaada past papers za general studies (GS)

Msaada past papers za general studies (GS)

Kama upo Dar nenda kituo cha mitihani Mapambano-Mwenye karibu na Nakieta pharmacy, kila aina ya past paper utakuta pale.
 
Kufaulu ni pamoja na kuwa na nidhamu ya hali ya juu kwa wakubwa na wadogo, acha kutukana watu mkuu.
 
Hapana aisee ntaishia kupigwa ban humu...tena ya milele

Wengine hicho cha Lilongwe ndicho kimeweza kutufanya tuwe ' Majiniasi ' hivi kwani kinatusaidia mno katika utafutaji wa ' maarifa ' kisha kuja ' kutiririka ' nayo pande hizi. Niambie bhana upo wapi sasa nikuletee japo kidogo tu Mkuu kisha ukishatumia tu utaona IQ yako itakavyokuwa sharp na kutoa madini mfululizo.
 
Mkuu hebu nenda kwenye ofisi ya mtaaluma wako utazipata na ambazo ulikuwa huzitaki
 
Kufaulu ni pamoja na kuwa na nidhamu ya hali ya juu kwa wakubwa na wadogo, acha kutukana watu mkuu.
Wangap shule walikuwa na nidhamu mwisho wao wakapata bashite?

Sijatukana, nimemwambia uyo dogo ukweli sio kuropoka tu
 
Back
Top Bottom