Msaada:nyumba yangu ina shoti kwenye earth wire

Msaada:nyumba yangu ina shoti kwenye earth wire

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
3,831
Reaction score
6,878
Ndugu wana JF

Ninapokaa kuna shorti nyumba nzima kutoka kwenye earth wiring sijajua tatizo ni nini haswa. Naogopa washa kifaa chochote cha umeme kwa sababu kuna short kubwa sana. Naomba msaada wenu jinsi ya kuidhibiti hiyo short
 
Wasiliana na tanesco haraka kitengo cha dharura earth wire na stick nyingi siku hizi ni fake
 
kuna earth wire za kichina wanauza tsh 30,000/ sio au jaribu kuangalia aina earth iliyotumika
 
Tanesco hilo sio jukumu lao maana wao wanaishia kwenye mita pale tu

Ni kweli lakini kuna ishu ya short kubwa ambayo inabidi kuwasiliana na tanesco kwa ajili ya kuja kukata umeme unaoingia ndani, nimechukulia kuna umeme unavuja hata kama umezima main switch
 
Ni kweli lakini kuna ishu ya short kubwa ambayo inabidi kuwasiliana na tanesco kwa ajili ya kuja kukata umeme unaoingia ndani, nimechukulia kuna umeme unavuja hata kama umezima main switch

Kama umezima main switch na circuit iko live basi main yako sio nzima sema shirika letu nalo limetoa system ya cuter out kwa ajili ya excess current ila kwa vile ni earth hapo shirika halina say customer ahangaike tu kutrace io fault mana apo ni earth ime contact na phase na kutokana na kukosekana kwa Residual current device ambayo huwa ina trip iki detect fault hio na current kuvuja kwenye earth wire apo kwa metal flame zote zimekuwa live kwa sababu tumezi earth na earth yenyewe haiko connected well underground so nimwendo wa short tu hata uguse body ya frige
 
Ndugu wana JF

Ninapokaa kuna shorti nyumba nzima kutoka kwenye earth wiring sijajua tatizo ni nini haswa. Naogopa washa kifaa chochote cha umeme kwa sababu kuna short kubwa sana. Naomba msaada wenu jinsi ya kuidhibiti hiyo short

Hilo si jukumu la tanesco,tanesco mwisho wao ni kwenye mita,kuanzia hapo ni jukumu la mwenye nyumba,mie ni fundi wa umeme kama utakuwa upo tayari tuwasiliane 0718 30 21 32
 
Back
Top Bottom