Msaada nyimbo za kale

Msaada nyimbo za kale

MUSIGAJI

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
2,261
Reaction score
2,744
Wadau,habari za weekend?Naomba msaada wa ratiba za redio wanaopiga nyimbo za kale hasa nyakati za usiku,tafadhali nitajie redio husika,siku na muda wa kipindi.Asanteni sana
 
Radio free Afrika, alhamisi saa 4 usiku mpaka saa ngapi sijui maana huwa nasikiliza hadi napitiwa na usingizi
 
Wadau,habari za weekend?Naomba msaada wa ratiba za redio wanaopiga nyimbo za kale hasa nyakati za usiku,tafadhali nitajie redio husika,siku na muda wa kipindi.Asanteni sana

Mkuu....
Nivema ukataja nyimbo unazo hitaji tukupakulie aiseee.....
 
Mkuu kwa kweli naona hapa utachemsha tu kwani zama za kale kulikuwa hakuna muziki. Kipindi kile cha dinosaurs ilikuwa ni kula ama uliwe huo ndoyi muziki wake. Wazee wetu waliishi mapangoni wakiwa wanaenda kuwinda walikuwa wanapiga makofi kuitana kwani walikuwa hawana ile technology ya ngoma. Majibu ndiyo hayo na kwa hapa Tanzania sijuwi kama kuna redio yeyote yenye hifadhi ya sauti za dinosaurs ama wazee wetu wa mapangoni wakipiga makofi. Pole sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom