Aisee nimecheka mpaka machozi yamenitoka.. Hao nyani ni wa mwendokasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi shambani kwangu nafuga kuku na nalima matikiti na jirani yangu analima mpunga , kuna nyani wanakuja wanaanza na mpunga (wali) then wanakuja kwenye kuku alafu wanamalizia na kuyala matikiti. ..yaani full menu ya hotel na nimewapiga na bunduki baada ya siku 3 wanarudi tena kupiga menu yao... dawa kuwatega na wao kuwala tu.
Hakuna kitu kingne kinachozuru kuku zaid ya nyani hapa nilipo hao mbwa wanapigwa makofi mpaka basi! Labda ufuge elf 20
Kupambana na nyani sio kazi rahisi kwa sababu wana akili kama binadamu kwa hiyo majibu rahisi hayawezi kufanya kazi. Nakumbuka miaka ya nyuma kule Uganda kaskazini kuna mkulima mmoja ambaye alilima nahindi na nyani wakuwa wanakula kila siku. Siku moja aliweka ulinzi akiwa na upinde na mishale. Nyani wakaja kama kawaida yao wakaingia shambani kula mahindi yeye akiwa amejificha sehemu tayari kwa mashambulizi. Basi akavuta upinde na kurusha mshale uliompata barabara nyani mmoja na kumuua.
Wenzake walikimbia kisha baadaye wakarudi kubeba nwili wa "marehemu" na kwenda nao wanakojua wao "kwa ajii ya mazishi". Walikuwa wakiomboleza kama watu.
Basi hao nyani wenye hasira walimjua huyo mkulima na nyumbani kwake walipajua! Chezea nyani weweeee! Wakaitisha kikao cha dharura kutafakari hatua gani wachukue dhidi ya huyo mkulima. Cha ajabu pamoja na hasira walizokuwa nazo walisubiri muda muafaka wa kulipiza kisasi. Bila kukosea walikuja nyani kama 30 hivi usiku wa manane nyumbani kwa huyo mkulima wajavunja mlango na kuingia ndani. Walimtoa kitandani mzega mzega hadi nje wakamchana tumbo na kutoa utumbo nje! Walipohakikisha amekufa wakaondoka zao. Sasa ona kwamba walijua kuwa usiku mnene hangepata msaada wa majirani kwa hiyo wakachagua muda huo kufanya mashambulizi!
Mimi ninachoshauri ni kubadilisha mazao na kupanda vitu ambavyo nyani hawana shida navyo.
Hadithi za kitambo kile kipindi cha analogy sasa hivi watu wako digital kaka!!! acha fiksiiKupambana na nyani sio kazi rahisi kwa sababu wana akili kama binadamu kwa hiyo majibu rahisi hayawezi kufanya kazi. Nakumbuka miaka ya nyuma kule Uganda kaskazini kuna mkulima mmoja ambaye alilima nahindi na nyani wakuwa wanakula kila siku. Siku moja aliweka ulinzi akiwa na upinde na mishale. Nyani wakaja kama kawaida yao wakaingia shambani kula mahindi yeye akiwa amejificha sehemu tayari kwa mashambulizi. Basi akavuta upinde na kurusha mshale uliompata barabara nyani mmoja na kumuua.
Wenzake walikimbia kisha baadaye wakarudi kubeba nwili wa "marehemu" na kwenda nao wanakojua wao "kwa ajii ya mazishi". Walikuwa wakiomboleza kama watu.
Basi hao nyani wenye hasira walimjua huyo mkulima na nyumbani kwake walipajua! Chezea nyani weweeee! Wakaitisha kikao cha dharura kutafakari hatua gani wachukue dhidi ya huyo mkulima. Cha ajabu pamoja na hasira walizokuwa nazo walisubiri muda muafaka wa kulipiza kisasi. Bila kukosea walikuja nyani kama 30 hivi usiku wa manane nyumbani kwa huyo mkulima wajavunja mlango na kuingia ndani. Walimtoa kitandani mzega mzega hadi nje wakamchana tumbo na kutoa utumbo nje! Walipohakikisha amekufa wakaondoka zao. Sasa ona kwamba walijua kuwa usiku mnene hangepata msaada wa majirani kwa hiyo wakachagua muda huo kufanya mashambulizi!
Mimi ninachoshauri ni kubadilisha mazao na kupanda vitu ambavyo nyani hawana shida navyo.
Chukua ushauri wa post #5, acha maneno Mengi!Msichukulie easy jamani nyani hao ni kama elf 10 wakivamia hata niwafukize mm hawaelewi hasa mwanamke ni shamba ninakofugia nyani wana uzito na akili kama watu mpk ugali wanaipua alafu ukiwaua unashtakiwa Mummy!mpka natamani niuze shamba ninunue kwingne lkn maskini hapatakuwa karibu na kazin!
Kumbe Ualibino hadi kwa wanyama !!! Au ndiye Nyani NgabuMtafute mlinzi monkey ungabure akulindie hao kuku wako.. [emoji116][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Jamani mm ninakofugia kuna nyani kuku wangu wanaliwa sana nifanyeje????
nyani acha kula kuku wa mwenzio.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀Mimi shambani kwangu nafuga kuku na nalima matikiti na jirani yangu analima mpunga , kuna nyani wanakuja wanaanza na mpunga (wali) then wanakuja kwenye kuku alafu wanamalizia na kuyala matikiti. ..yaani full menu ya hotel na nimewapiga na bunduki baada ya siku 3 wanarudi tena kupiga menu yao... dawa kuwatega na wao kuwala tu.
Ha ha ha ha ha, hawa kweli ni watu wa zamaniHakuna kitu kingne kinachozuru kuku zaid ya nyani hapa nilipo hao mbwa wanapigwa makofi mpaka basi! Labda ufuge elf 20
Hujakaa vijijini mkuu, nyani ana akili kama binadamu,Hadithi za kitambo kile kipindi cha analogy sasa hivi watu wako digital kaka!!! acha fiksii
Huyu ni ngedere na sio nyaniView attachment 366833ukimkamata mmoja msurubu