Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 446
- 232
wadau nataka kudaka moja kati ya hzo cm naombeni ushauri ipi itanifaa zaidi.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.
Lumia kutumia uduma ya m-pesa wala tigo pesa kwa ufupi uduma ya ussd haipo kabsa kwenye lumia
Bora techno n70
Kumbuka simu ambayo ina Windows phone haina uduma ya ussd.
Lumia kutumia uduma ya m-pesa wala tigo pesa kwa ufupi uduma ya ussd haipo kabsa kwenye lumia
Bora techno n70
Kumbuka simu ambayo ina Windows phone haina uduma ya ussd.
kwa lumia 610 na n7 techno nakushauri nenda techno specs wise n7 ni nzuri saidi. sema ipo lumia 520 kwa bei rahisi zaidi inazipiku both tecno n7 na lumia 610
kaka hyo 520 inapatikana wapi na kwa bei zipi msaada plz?
mediacom (wakala wa nokia) anauza 350,000 sifahamu duka lao lipo wapi.
ila kwa maduka ya kawaida unaweza ukapata hadi 280,000