weka usaidiwe mtoto. utaelekea huku.....mnaniuzi mnaoanza na weka pc...
nenda badoo utawakuta wenzio.
Sizan kama kuna tiba ya kuondoa hzo ndevu. Coz inabid ujue nn kinasababisha uwe na ndevu ndipo unaweza kuondoa na ishu kubwa hapo n kua na ongezeko kubwa la hormone ya kiume ambalo linaweza sababishwa na sababu za kimazingira(lishe) au za vinasaba!
Ulipata dawa mdadaNisaidieni kupata njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke maana zimekuwa zikiota nakata ila zinarudi mara mbili zaidi ya awali.
Mwanzo vilikuwa 2 nikavikata vikaja kama vi5 ni virefuu sasa naogopa kuvikata nataka nikipata dawa au njia ya kuviondoa basi visirudi tena.
Kama ni dawa / mafuta yasiwe na kemikali yenye kuchubua ngozi /cream/. maqna nilishauriwa na mtu hayo mafuta matokeo yake nikaishia kucream kidevu na tiba nisipate.
Asanteni.
Hlw naitaji io dawa kama ulipata mkuussababu za kimaxingira?
naomba elimu mkuu
ni mazingira gani huchangia kuwa na ndevu?
pata dawa bestNisaidieni kupata njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke maana zimekuwa zikiota nakata ila zinarudi mara mbili zaidi ya awali.
Mwanzo vilikuwa 2 nikavikata vikaja kama vi5 ni virefuu sasa naogopa kuvikata nataka nikipata dawa au njia ya kuviondoa basi visirudi tena.
Kama ni dawa / mafuta yasiwe na kemikali yenye kuchubua ngozi /cream/. maqna nilishauriwa na mtu hayo mafuta matokeo yake nikaishia kucream kidevu na tiba nisipate.
Asanteni.
Kwakweli mada imenigusa sanaa hata Mimi ndevu zinaniota natamani kujua nifanye nini ili ziisheUlipata sawa
Ulipata dawa mdada
Mipia lakinisipt suluishoKwakweli mada imenigusa sanaa hata Mimi ndevu zinaniota natamani kujua nifanye nini ili ziishe