Msaada: Njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke

Me too

JF-Expert Member
Feb 9, 2015
7,325
9,180
Nisaidieni kupata njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke maana zimekuwa zikiota nakata ila zinarudi mara mbili zaidi ya awali.

Mwanzo vilikuwa 2 nikavikata vikaja kama vi5 ni virefuu sasa naogopa kuvikata nataka nikipata dawa au njia ya kuviondoa basi visirudi tena.


Kama ni dawa / mafuta yasiwe na kemikali yenye kuchubua ngozi /cream/. maqna nilishauriwa na mtu hayo mafuta matokeo yake nikaishia kucream kidevu na tiba nisipate.

Asanteni.
 
Sizan kama kuna tiba ya kuondoa hzo ndevu. Coz inabid ujue nn kinasababisha uwe na ndevu ndipo unaweza kuondoa na ishu kubwa hapo n kua na ongezeko kubwa la hormone ya kiume ambalo linaweza sababishwa na sababu za kimazingira(lishe) au za vinasaba!
 
mnaniuzi mnaoanza na weka pc...

nenda badoo utawakuta wenzio.
weka usaidiwe mtoto. utaelekea huku.....
maxresdefault.jpg
 
ssababu za kimaxingira?
naomba elimu mkuu

ni mazingira gani huchangia kuwa na ndevu?
Sizan kama kuna tiba ya kuondoa hzo ndevu. Coz inabid ujue nn kinasababisha uwe na ndevu ndipo unaweza kuondoa na ishu kubwa hapo n kua na ongezeko kubwa la hormone ya kiume ambalo linaweza sababishwa na sababu za kimazingira(lishe) au za vinasaba!
 
Ulipata sawa
Nisaidieni kupata njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke maana zimekuwa zikiota nakata ila zinarudi mara mbili zaidi ya awali.

Mwanzo vilikuwa 2 nikavikata vikaja kama vi5 ni virefuu sasa naogopa kuvikata nataka nikipata dawa au njia ya kuviondoa basi visirudi tena.


Kama ni dawa / mafuta yasiwe na kemikali yenye kuchubua ngozi /cream/. maqna nilishauriwa na mtu hayo mafuta matokeo yake nikaishia kucream kidevu na tiba nisipate.

Asanteni.
Ulipata dawa mdada
 
Nauliza tu swali; Hivi ni kweli mdada mwenye ndevu huwa na kifuani zimejaa?? Huyo mdhungu nimemuogopa. Sithubutu kuvuta ndani Dah! Wapo wanaume mashujaa wengine kina sisi magoigoi tu. Dah! Huyo sivuti ndani ng'o
 
Uli
Nisaidieni kupata njia ya kuondoa ndevu kwa mwanamke maana zimekuwa zikiota nakata ila zinarudi mara mbili zaidi ya awali.

Mwanzo vilikuwa 2 nikavikata vikaja kama vi5 ni virefuu sasa naogopa kuvikata nataka nikipata dawa au njia ya kuviondoa basi visirudi tena.


Kama ni dawa / mafuta yasiwe na kemikali yenye kuchubua ngozi /cream/. maqna nilishauriwa na mtu hayo mafuta matokeo yake nikaishia kucream kidevu na tiba nisipate.

Asanteni.
pata dawa best
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom