Msaada: njia ya kuforwad automatic email kutoka gmail kuja sms za kawaida

upworkup

JF-Expert Member
Nov 21, 2020
838
1,117
Habari wakuu:

Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.

Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa.

Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo msamiati.

Asanteni.
 
watoa huduma ya email-to-SMS huwa wanakupa config setup, unazipachika upande wa Email Settings > Forwarding

email zako zikiingia zinaenda moja kwa moja kwenye database servers za hao jamaa, kisha wao wana hardware ya kuitwa SMS Gateway ambayo inasoma izo jumbe kwenye database, kisha kutuma kwenye namba ya simu uliyoweka wakati unajisajili

so wanakuwa na wanakuchaji per SMS
 
watoa huduma ya email-to-SMS huwa wanakupa config setup, unazipachika upande wa Email Settings > Forwarding

email zako zikiingia zinaenda moja kwa moja kwenye database servers za hao jamaa, kisha wao wana hardware ya kuitwa SMS Gateway ambayo inasoma izo jumbe kwenye database, kisha kutuma kwenye namba ya simu uliyoweka wakati unajisajili

so wanakuwa na wanakuchaji per SMS
Mkuu hao watoa huduma ni kina nani kwa mfano?
Ama ni hawahawa Airtel n.k
 
Habari wakuu:

Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.

Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa.

Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo msamiati.

Asanteni.
Ni pm. Una shing gapi?
 
Habari wakuu:

Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.

Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa.

Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo msamiati.

Asanteni.
Gharama utakazopewa bila shaka utaghairi.
 
Back
Top Bottom