JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,735
- 2,686
Salaam wanajukwaa.
Nahitaji ushauri na uzoefu juu ya jambo hili. Nahitaji kujenga choo kidogo cha kisasa pasipo kutumia tofali kwenye kuta. Chemba ipo tayari na sink zipo tayari, kinachoniwazisha ni kitu gani (material) ninayoweza kutumia kama kuta ambayo inasafishika kirahisi kama ilivyo tiles (water proof). Material hiyo iwe inapatikana hapa Tanzania.
Sakafu nitaweka tiles na sink nita set kawaida, ila kuta ndo zinaniwazisha. Nakaribisha mchango wenu wa mawazo na uzoefu wadau.
NB: Sababu kuu ni kwamba kwenye eneo husika panaruhusiwa kujengwa vitu vya muda mfupi tuu. Tofali ni marufuku. Chemba ipo karibu na eneo.
Nahitaji ushauri na uzoefu juu ya jambo hili. Nahitaji kujenga choo kidogo cha kisasa pasipo kutumia tofali kwenye kuta. Chemba ipo tayari na sink zipo tayari, kinachoniwazisha ni kitu gani (material) ninayoweza kutumia kama kuta ambayo inasafishika kirahisi kama ilivyo tiles (water proof). Material hiyo iwe inapatikana hapa Tanzania.
Sakafu nitaweka tiles na sink nita set kawaida, ila kuta ndo zinaniwazisha. Nakaribisha mchango wenu wa mawazo na uzoefu wadau.
NB: Sababu kuu ni kwamba kwenye eneo husika panaruhusiwa kujengwa vitu vya muda mfupi tuu. Tofali ni marufuku. Chemba ipo karibu na eneo.