Mtanzania2020
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 366
- 762
😂😂😂Chapa Fimbo
😂😂😂Chapa Fimbo
wazazi wao si wataniona nina roho mbaya mkuuHamisha tv redio sofa hapo sebuleni. Wakitaka warudi kwao.
Mkuu, naogopa nisije kupata kesi bure.Chapa Fimbo
Mkuu, hawa watoto nimekabidhiwa ili niwasimamie, maana mmoja kamaliza darasa la 7 mwaka huu ananijua vizuri.Kusoma ni sehemu tu ya njia ya kupata maarifa. Zipo nyingi, kuna kusikiliza, kutazama, na kujifunza kwa kuigilizia kwa vitendo.
Dah, mimi sio mzazi mkuu.Uza tiivii halafu oa mke wa pili.
1. Kuuza tiivii umenielewa
2. Ukio mke wa pili mama yao atakua anawahimiza sana kusoma. I know from experience
acha vichekesho vyako.Tafuta majambazi uwalipe hela waje waibe hiyo Tv
Sana tu mkuukwanza wew ulikuw unapenda kujisomea??
Au ndio nyani haoni......
Tell me, I may understand and do it; show me and I will do it. Be the very change you want to see in the world. Lead not by words, but actions for they speak louder. Let your children see you enjoying reading yourself. Utarudi hapa kunishukuru.
I remember, like it was yesterday, spending hours and hours ^WITH^ my parents in the library, as a little kid.
Dada yangu alibuni mbinu za kununua A, yaani mtoto anaeoata A analipwa kiasi alichokubaliana na wazazi.
Ananiambia kuna mmoja alikuja na A 6. Fikiria kama mlikubaliana A moja ni laki moja!
Lakini alifanimiwa.
Nampelekesha kijeshi mpaka mzazi wake ajeUkute mtoto hapendi pesa na hapendi kusoma,
Kuna mazingira mazuri ya kujisomea? Jaribu kuanza kwa kulima uelewa wao wa masomo yao. Waulize maswali mbalimbali, kama hawatoi majibu yaliyonyooka, hapo hapo unamwambia akachukue kitabu au daftari, mnakaa wote mezani anasoma na unamsaidia asipoelewa. Wakalishe wote kama kikundi wasaidiane hasa aliyetangulia awasaidie wenzie na wewe ukiwasimamia wote. Weka muda maalum kwa kila jambo. Kuamka, kula, kuangalia runinga na kujisomea.Habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani.
Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na Tv.
Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe.
Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.
Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3
Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.
Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga
NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM
Nampelekesha kijeshi mpaka mzazi wake aje
Shukrani sana mkuuKuna mazingira mazuri ya kujisomea? Jaribu kuanza kwa kulima uelewa wao wa masomo yao. Waulize maswali mbalimbali, kama hawatoi majibu yaliyonyooka, hapo hapo unamwambia akachukue kitabu au daftari, mnakaa wote mezani anasoma na unamsaidia asipoelewa. Wakalishe wote kama kikundi wasaidiane hasa aliyetangulia awasaidie wenzie na wewe ukiwasimamia wote. Weka muda maalum kwa kila jambo. Kuamka, kula, kuangalia runinga na kujisomea.
Kitaeleweka tu.You can take a horse to a river but you can't force it to drink. Walonga bazungu.
Ni mlezi. Majukumu ni yale yale.Sio mzaZi mimi
Eh!!!!!Habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani.
Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na Tv.
Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe.
Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.
Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3
Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.
Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga
NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM
Ndiyo hivyoEh!!!!!