Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,208
- 16,270
Usiwambie someni, kaa nao uwasomeshe, uwadurusishe, uwasaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HII NDIO MBINU SAHIHI ASILIMIA 99View attachment 1664979
Mtoto wa shule ya msingi anasoma nini sasa? Acha kutesa watoto.
Ukirudi nyumba shika kitabu cha hadithi soma, au kitabu chochote hiyo iwe ndio desturi yako, watakuiga. Lakini sio kusema shomaa! shomaa! wakati wewe mwenyewe ukirudi home unakimbilia remote, pumbavuuu
Sio baba mimi ni graduate mwaka huu
Hahaha.. Anjo upo kweli ?...Shomaa!!!! Shomaaaa!!!
hata baba yangu alitumia hii njiaa! leo hii ninakula matundaa hayooDada yangu alibuni mbinu za kununua A, yaani mtoto anaepata A analipwa kiasi alichokubaliana na wazazi.
Ananiambia kuna mmoja alikuja na A 6. Fikiria kama mlikubaliana A moja ni laki moja!
Lakini alifanikiwa.
Hahaha.. Anjo upo kweli ?...
wanazinguaShomaa!!!! Shomaaaa!!!
Wewe mwenyewe hujisomei unategemea mtoto ajisomee nn?Habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani. Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na TV.
Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe. Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.
Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3. Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.
Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga
NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM