James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,558
- 2,633
- Thread starter
- #41
Nachokaga sometimesNi mlezi. Majukumu ni yale yale.
Nachokaga sometimesNi mlezi. Majukumu ni yale yale.
Waamrishe tu we c ndio baba/mama mwenye nyumba.Ndiyo hivyo
Sio fazahausi mimiWaamrishe tu we c ndio baba/mama mwenye nyumba.
Enhe Sasa kazi ya father house ni nn maana Kama ye atawaamrisha hata ww ukiwaambia watakusikiliza,ila Kama baba yao asemi kitu wewe ni Nani hata wakusikilize.Sio fazahausi mimi
Mkuu wwzazi wa kike wananguvu sana hasa kwenye malezi mshirikishe utafanikiwa wewe toa zawadi kidogo sana na ahadiMkuu, hawa watoto nimekabidhiwa ili niwasimamie, maana mmoja kamaliza darasa la 7 mwaka huu ananijua vizuri.
Kipind cha COVID 19 alisoma, akilala kwa amri za kijeshi, makofi, ngumi, mawe mpaka makonzi yalihusika.
Kumbuka dingi wake akinipa kibali cha kumshushia kipigo akivunja utaratibu niliomuekea.
Baadae akaanza kusurrender mwenyewe, now kapata daraja A kachaguliwa Ilboru.
Sasa wazazi wa hawa wengine wameona njia rahis wanikabidhi mimi watoto wao ilo niwanyoshe kama mwenzao.
Elevat Kapela
Tape measure
BAK
Mamndenyi
Unforgetable
Red Giant
Mtende
Jasmoni Tegga
Sky Eclat
Me too
MoseKing
Mtanzania2020
Njusi
Good motivation. Just unamwekea akiba yake kulingana na credits ama grades. Every score iwe na points. Nazugumzia usomaji, specifically.Dada yangu alibuni mbinu za kununua A, yaani mtoto anaepata A analipwa kiasi alichokubaliana na wazazi.
Ananiambia kuna mmoja alikuja na A 6. Fikiria kama mlikubaliana A moja ni laki moja!
Lakini alifanikiwa.
Hakuna mtoto mwenye kichwa kigumu kama ana akili timamu, yaani hana ugonjwa wa akili. Strategy ndizo ziboreshwe; different people do not learn the same thing by the same method.Mkuu, naogopa nisije kupata kesi bure.
Maana madogo wana vichwa vigumu kama mawe.
Utaua, utajua, utapata murder case. Huhitaji kutumia nguvu nyingi. Dadisi hao wanajifunza zaidi kwa mbinu ganiMkuu, hawa watoto nimekabidhiwa ili niwasimamie, maana mmoja kamaliza darasa la 7 mwaka huu ananijua vizuri.
Kipind cha COVID 19 alisoma, akilala kwa amri za kijeshi, makofi, ngumi, mawe mpaka makonzi yalihusika.
Kumbuka dingi wake akinipa kibali cha kumshushia kipigo akivunja utaratibu niliomuekea.
Baadae akaanza kusurrender mwenyewe, now kapata daraja A kachaguliwa Ilboru.
Sasa wazazi wa hawa wengine wameona njia rahis wanikabidhi mimi watoto wao ilo niwanyoshe kama mwenzao.
Elevat Kapela
Tape measure
BAK
Mamndenyi
Unforgetable
Red Giant
Mtende
Jasmoni Tegga
Sky Eclat
Me too
MoseKing
Mtanzania2020
Njusi
Usomaji andaa past papers na umjengee uwezo wa kuzijibuGood motivation. Just unamwekea akiba yake kulingana na credits ama grades. Every score iwe na points. Nazugumzia usomaji, specifically.
Ajabu sana... jee wazazi wako walikuwekea TV ulipokuwa baby ????Habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani.
Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na Tv.
Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe.
Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.
Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3
Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.
Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga
NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM
As far as I can remember, I vividly recall how I was being meticulously corrected kwenye punctuations, etc. Also handwriting. I literally loved reading almost forever. BUT ^I saw it firsthand.^You were then bookworms!!,
My mother only allow us to watch small amount of television. She made us read books, when everybody was outside playing we had to read books. But in the process of reading those books. I read about a lot of people, successful people. And I came to realize that the person who has the most to do on what's happen to you is you. It's not somebody else.It's not some outside influence. It's not some environmental factor. It's you and the choices you make.-Dr Ben CarsonWatasomaje vitabu wakati hawakuoni na wewe umeshika vitabu unasoma?
Kupenda kusomasoma vitabu ni utamaduni unaojengwa kwanza na mzazi au mlezi.
Watoto wakikuona unavuta bhangi mbele yao na wawo siku moja watajaribu waone utamu wake.
Watoto hawajilelei, wanalelewa, iko siku utajuta kuwaleta watoto waliokuzidi akili kwako.wazazi wao si wataniona nina roho mbaya mkuu
Mkuu mimi siangaliagi TV aiseeMtoto wa shule ya msingi anasoma nini sasa? Acha kutesa watoto.
Ukirudi nyumba shika kitabu cha hadithi soma, au kitabu chochote hiyo iwe ndio desturi yako, watakuiga. Lakini sio kusema shomaa! shomaa! wakati wewe mwenyewe ukirudi home unakimbilia remote, pumbavuuu
Mkuu mimi siangaliagi TV aisee