Gari BMW X3 tatizo lishalekebishwa lakini Taa inaendelea kuwaka

Boss Man

JF-Expert Member
Feb 10, 2022
458
991
Wakuu na wajuzi wa mambo ya magari naombeni msaada, jana wakati naendesha Gari (BMW X3) ghafla Alarm ikalia mara moja tu kucheki Dashboard nikaona Tire Pressure Light imewaka, nikajua tatizo ni upepo, kweli nikapita Mahali kwa pressure kucheki Tyre moja ya nyuma ilikuwa na misumari miwili

Basi nikazibiwa pancha, jamaa akanijazia upepo akacheki na tyres zingine kwa mara ya pili zote zilikuwa sawa lakini nilivyowasha gari Ile Taa pale kwa dashboard haijaondoka, yule jamaa aliyenizibia pancha akanambia Hadi nitembee kidogo ndio ikaondoka

Nimeendesha gari umbali wa zaidi ya kilometers 50 lakini Taa Bado inawaka!

Wenye Experience na hizi BMW hii Taa kuwaka ni kwamba itazima yenyewe? au inaondolewaje maana tatizo kwenye mataili hakuna tena
pic04.jpg
 
Wakuu na wajuzi wa mambo ya magari naombeni msaada, jana wakati naendesha Gari (BMW X3) ghafla Alarm ikalia mara moja tu kucheki Dashboard nikaona Tire Pressure Light imewaka, nikajua tatizo ni upepo, kweli nikapita Mahali kwa pressure kucheki Tyre moja ya nyuma ilikuwa na misumari miwili

Basi nikazibiwa pancha, jamaa akanijazia upepo akacheki na tyres zingine kwa mara ya pili zote zilikuwa sawa lakini nilivyowasha gari Ile Taa pale kwa dashboard haijaondoka, yule jamaa aliyenizibia pancha akanambia Hadi nitembee kidogo ndio ikaondoka

Nimeendesha gari umbali wa zaidi ya kilometers 50 lakini Taa Bado inawaka!

Wenye Experience na hizi BMW hii Taa kuwaka ni kwamba itazima yenyewe? au inaondolewaje maana tatizo kwenye mataili hakuna tenaView attachment 2440310

Ignore or it has to be reset, but are you sure limeisha? Nishapambanaga na taa kwenye BM fundi wakarekebisha, kuja kushtuka, kumbe wametoa bulb, wacha tu iwake
 
Jaribu kuizima kwa mashine ikigoma weka tairi mpya huenda itazima. Tatizo bado lipo sensor ishasema.
 
Wakuu na wajuzi wa mambo ya magari naombeni msaada, jana wakati naendesha Gari (BMW X3) ghafla Alarm ikalia mara moja tu kucheki Dashboard nikaona Tire Pressure Light imewaka, nikajua tatizo ni upepo, kweli nikapita Mahali kwa pressure kucheki Tyre moja ya nyuma ilikuwa na misumari miwili

Basi nikazibiwa pancha, jamaa akanijazia upepo akacheki na tyres zingine kwa mara ya pili zote zilikuwa sawa lakini nilivyowasha gari Ile Taa pale kwa dashboard haijaondoka, yule jamaa aliyenizibia pancha akanambia Hadi nitembee kidogo ndio ikaondoka

Nimeendesha gari umbali wa zaidi ya kilometers 50 lakini Taa Bado inawaka!

Wenye Experience na hizi BMW hii Taa kuwaka ni kwamba itazima yenyewe? au inaondolewaje maana tatizo kwenye mataili hakuna tenaView attachment 2440310

Simple, baada ya ku fix tatizo, kachomeke diagnostic machine afute hiyo message! Alert nyingiz kwenye magari ya kisasa zinakua reset kwa mashine.
 
Sio kila anaemiliki hizo x3 ukajumlisha pesa anazo
Watu kibao tu uchumi wa kawaida wamenunua.
X3 ya 2005 huko ni around 23million tu

Pesa zina matumizi mengine pia.mkuu sio gari tuu
23m ni pesa. Kununua haya magari huenda ni rahisi, kuyahudumia ni gharama na ndo thamani yake ilipo.

Hiyo taa aliyeiweka hapo ameiweka kukuonyesha kuwa tairi zina tatizo, kama umeziba pancha na haizimi basi ni kubadili tairi ndo suluhu. Unless sensa ina tatizo.

Pia, Ukiona unamiliki german car halafu dashboard inawaka mataa kama xmass tree ujue mantainance ya hiyo gari huimudu.
 
Simple, baada ya ku fix tatizo, kachomeke diagnostic machine afute hiyo message! Alert nyingiz kwenye magari ya kisasa zinakua reset kwa mashine.
Kwahiyo hii ndio itakuwa style, Yani warning light yeyote ikiwaka kuitoa ni hadi kwa Mashine na sio tatizo likiwa solved

Na gharama zake zikoje?
 
23m ni pesa. Kununua haya magari huenda ni rahisi, kuyahudumia ni gharama na ndo thamani yake ilipo.

Hiyo taa aliyeiweka hapo ameiweka kukuonyesha kuwa tairi zina tatizo, kama umeziba pancha na haizimi basi ni kubadili tairi ndo suluhu. Unless sensa ina tatizo.

Ukiona unamiliki german car halafu dashboard inawaka mataa kama xmass tree ujue mantainance ya hiyo gari huimudu.
Kwahiyo mkuu unanihakikishia kwamba nikibadilisha Tyres zote Taa itazima sio

Na kama nikibadili halafu ikagoma kuzima?
 
Wakuu na wajuzi wa mambo ya magari naombeni msaada, jana wakati naendesha Gari (BMW X3) ghafla Alarm ikalia mara moja tu kucheki Dashboard nikaona Tire Pressure Light imewaka, nikajua tatizo ni upepo, kweli nikapita Mahali kwa pressure kucheki Tyre moja ya nyuma ilikuwa na misumari miwili

Basi nikazibiwa pancha, jamaa akanijazia upepo akacheki na tyres zingine kwa mara ya pili zote zilikuwa sawa lakini nilivyowasha gari Ile Taa pale kwa dashboard haijaondoka, yule jamaa aliyenizibia pancha akanambia Hadi nitembee kidogo ndio ikaondoka

Nimeendesha gari umbali wa zaidi ya kilometers 50 lakini Taa Bado inawaka!

Wenye Experience na hizi BMW hii Taa kuwaka ni kwamba itazima yenyewe? au inaondolewaje maana tatizo kwenye mataili hakuna tenaView attachment 2440310
Kama hawajafanya chochote zaidi ya kuziba pancha then hiyo taa inahitaji tu reset.

Sijajua uko wapi ila tafuta mtu mwenye mashine areset TPMS.

Guys hizi gari naintenance nyingi ukifanya utahitaji kureset. Almost karibu kila mfumo.

Kuna watu wameshawahi kunicheck walibadili oil ya Gearbox kwenye Volkswagen Toureg kama sijakosea Gari ikawa haibadili gear. The same issue ukibadili any kind of oil kwenye hizo gari lazima ureset.
 
Simple, baada ya ku fix tatizo, kachomeke diagnostic machine afute hiyo message! Alert nyingiz kwenye magari ya kisasa zinakua reset kwa mashine.
Achomeke kwa mashine afanye reset. Code kama hizo mara nyingi huwa hazifutiki kwa mashine.

Zitafitika tu kama mashine ina reset service ya huo mfumo. So itakuhitaji ufanye reset na siyo kufuta code.
 
Kwahiyo mkuu unanihakikishia kwamba nikibadilisha Tyres zote Taa itazima sio

Na kama nikibadili halafu ikagoma kuzima?
Hii taa kazi yake ni kukuonyesha kuwa tairi zina shida, ndo maana nikasema unless sensor ina matatizo basi badili tairi. Tafsiri yake ni kuwa jiridhishe kuwa hiyo sensor haina shida kupitia diagnosis machine ambayo ipo updated. Sio uende kwa fundi ni fundi unakuta anamashine haiwezi wala kusoma fault za hiyo brand.
 
Back
Top Bottom