Msaada nissan mach

Msaada nissan mach

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
832
Nimeona nissan mach ya mwaka 97 yenye cc 990,nataka kununua kwa ajili ya usafiri wa kwenda kzn 2,naomba kujua uimara wake,na garama za cfi. Bei ya kununua ni usd 900. Je tra watabeba sh ngapi?,
 
hata kuweka poll imekushinda, sishangai ... kamalizie kuweka poll kwenye thread yako ya kipuuzi
 
Nimeona nissan mach ya mwaka 97 yenye cc 990,nataka kununua kwa ajili ya usafiri wa kwenda kzn 2,naomba kujua uimara wake,na garama za cfi. Bei ya kununua ni usd 900. Je tra watabeba sh ngapi?,

Nenda google angali mamlaka ya mapatO tanzania, halafu utajumlisha na nauli ya meli
 
Back
Top Bottom