fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,497
- 27,761
Aaah apo umeniongezea kitu maana hz lugha za watu nazo noma kuna mnaija mmoja nachart nae anapenda kutumia short short kama hv bas napata nae tabu hajui tuLOL .. laugh out loud..
ATM..at the moment..
FYI ..for your information
Idk ..I don't know..
Maneno yako mengi mno na yanaibuka mengine daily
Mm hyo lmao ndo inaniumizaga kchwa yaan aiseeDa hata Mimi limenitesa sana.. Maneno mengine niliyokua siyajui n WTF..BTW na IDK
Nashkuru ndugu, ila nina kaswali kdg. vp wale wanaohack account za watu je na wao wanatumia cookies?ukivisit jamiiforums.com, uka log in, username/password zinatunzwa kwenye storage ya browser iitwayo 'cookie'
ndiyo maana ukivisit tena jamiiforums.com, unapita bila ku sign in, kwa kua username/password inasomwa kutoka kwenye cookie
uki clear cookie, details zinafutwa, uki log in jamiiforums.com inabidi uingize tena username/password
iyo ni kwa ufupi
iyo unayoita hacking, mara nyingi hua ni 'phishing page attack'Nashkuru ndugu, ila nina kaswali kdg. vp wale wanaohack account za watu je na wao wanatumia cookies?
pia cookies inamsaidia mliki wa website kujua ni watu wa ngap wametembelea page yake or website yakeCookies ni taarifa ambazo zinahifadhiwa kwenye browser yako iwe simu au computer, taarifa hizi zinasaidia website kukufahamu wewe, cookies ndio ndani yake hubeba session, session ni taarifa zinazosaidia web app ikutambue kila ukiingia mtandaoni kwa kua http protocol ni stateless, hivyo husaidia usiweke password kila mara, mfano tangu u log in jamiiforum hawajakuuliza tena unless uki log out
Ila cookie nyingi ni za kuisaidia web app kujua unachopendelea kufanya hii inasaidia hata jinsi watakavyokutumia matangazo
Unaweza ukawa umesachi komputa ya apple af baadae ukiingia YouTube unakuta wanakuonesha ads za apple computer
Kila page unayoclick, nyuma yake browser inatuma na cookies ili web app ijue anae request hizo taarifa ni nani
Ukitaka kuona cookies google chrome mobile, nenda settings>site setting>Cookie
Ask me more abou computer
iyo unayoita hacking, mara nyingi hua ni 'phishing page attack'
mtu anatengeneza page simple na domain inayofanana na jamiiforum.com, mathalan anaiita jamiiforrums.com
anakutumia link, ukiingiza details zako anazinasa, cookie wala haihusiki
Duh kumbe mambo ndivyo yalivyo. nimeelewa now, thanks all!iyo unayoita hacking, mara nyingi hua ni 'phishing page attack'
mtu anatengeneza page simple na domain inayofanana na jamiiforum.com, mathalan anaiita jamiiforrums.com
anakutumia link, ukiingiza details zako anazinasa, cookie wala haihusiki
Ongeza na ILYSMMm hyo lmao ndo inaniumizaga kchwa yaan aisee
At least umeushawishi ubongo wangu mgumu kukuelewaCookies ni text files zenye information kuhusiana na website ulizotembelea.
Browser ina sehemu maalumu ya kuhifadhia hizi memory.
Sababu kuu ya cookies kuwepo ni nyingi.
Inasaidia ku website kuji customize kwa ajili yako au recommends zako n.k
Mfano ukiingia Amazon uka search bidhaa flani server ya Amazon itatuma hizo text files za kuitwa cookies kwenda kwenye browser yako, next time unaingia Amazon tena utashangaa bidhaa wanaku recommend ni zile zinafanana na last time ukiingia uka search..
Google ads pia wanatumia cookies that's why utakuta yanakuja matangazo tokana na vitu unavyopenda sana ku search online..
Cookies ina kazi nyingi hio ni baadhi tu.
Unafaa kuwa mwalimu wa wanafunzi vichwa ngumu kama mimiukivisit jamiiforums.com, uka log in, username/password zinatunzwa kwenye storage ya browser iitwayo 'cookie'
ndiyo maana ukivisit tena jamiiforums.com, unapita bila ku sign in, kwa kua username/password inasomwa kutoka kwenye cookie
uki clear cookie, details zinafutwa, uki log in jamiiforums.com inabidi uingize tena username/password
iyo ni kwa ufupi
cookie imeelezewa juu hapoCookies ni sawa na caches?
Ila wabongo wengi tuna huu ugonjwa wa kupiga NEXT na Ku ACCEPT kila tunapoweka programm kwenye pc au simu. Nadhan asilimia kubwa hatujui undani wa vitu tunavyovitumia. Mfano mi sijawahi kusoma yale maelezo yanayohusu software ninapo install program, huwa napiga tu NEXT!
Ongeza na ILYSM
Ow...thanks ILYSMI love you so much (ILYSM)
Hii inaeleweka bhna 🤣🤣 yaan ndo kwanza nimeiona ila jibu lake ni I LUV U SO MUCH🤣🤣🤣Ongeza na ILYSM
WTF - What the f**kDa hata Mimi limenitesa sana.. Maneno mengine niliyokua siyajui n WTF..BTW na IDK