Real Patriotist
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 284
- 687
Habari wakuu!
Naomba mwenye uelewa na hili anijuze. Ninatumia smart tv kwa muda sasa. Zamani wakati naichukua kutoka dukani nilikuwa na uwezo wa kuaccess apps zake kama vile youtube, netflix etc lakini baadaye sana zikawa zinagoma kufunguka na nikawa naambiwa "your tv is not licenced". Hiki ni nini na ninawezaje kussolve hili tatizo?
Asante
Naomba mwenye uelewa na hili anijuze. Ninatumia smart tv kwa muda sasa. Zamani wakati naichukua kutoka dukani nilikuwa na uwezo wa kuaccess apps zake kama vile youtube, netflix etc lakini baadaye sana zikawa zinagoma kufunguka na nikawa naambiwa "your tv is not licenced". Hiki ni nini na ninawezaje kussolve hili tatizo?
Asante