Wandugu,
Kama kuna mwana bodi yeyote ambaye alishawahi kufanya kazi au bado anafanyakazi Mradi wa HADO (Hifadhi Ardhi Dodoma), nadhani makao makuu yake yalikuwa/yapo Kondoa; au mradi wa HASHI (Hifadhi Ardhi Shinyanga). Naomba awasiliane nami kwa njia ya PM, ninahitaji msaada wa info kuhusiana na miradi hiyo miwili.
Ninajua Mradi wa HASHI bado upo, lakini sina hakika kama mradi wa HADO bado upo au ulikufa pamoja na KAUDO.
Ninatanguliza shukurani!
NB: Moderators kama bandiko hili nimeliweka mahali si pake, natanguliza samahani nyingi, niwieni radhi maana sijui nitundike wapi.
Kama kuna mwana bodi yeyote ambaye alishawahi kufanya kazi au bado anafanyakazi Mradi wa HADO (Hifadhi Ardhi Dodoma), nadhani makao makuu yake yalikuwa/yapo Kondoa; au mradi wa HASHI (Hifadhi Ardhi Shinyanga). Naomba awasiliane nami kwa njia ya PM, ninahitaji msaada wa info kuhusiana na miradi hiyo miwili.
Ninajua Mradi wa HASHI bado upo, lakini sina hakika kama mradi wa HADO bado upo au ulikufa pamoja na KAUDO.
Ninatanguliza shukurani!
NB: Moderators kama bandiko hili nimeliweka mahali si pake, natanguliza samahani nyingi, niwieni radhi maana sijui nitundike wapi.