Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

BAK wewe mchawi umekula tunda langu tamu ila please! Usitoe ushuhuda kwenye ule uzi yaishie huku huku uraiani. Ukitoa ushuhuda NITAKUCHUKIA MILELE na sitaongea nawe tena
Haya, lala umalizie hii ndoto yako
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Shauri yako hiyo siku isiyokuwa na jina utasikika ukisema, “Yaani BAK siamini nimekupa denda na dakika chache zijazo nakupa tunda langu tamu, lakini naomba tusali kwanza kwa jina la Yesu.” 😂😂😂

Hivi bado unaendelea kupoteza muda na hii ndoto?
 
Shauri yako hiyo siku isiyokuwa na jina utasikika ukisema, “Yaani BAK siamini nimekupa denda na dakika chache zijazo nakupa tunda langu tamu, lakini naomba tusali kwanza kwa jina la Yesu.”
Mimi huyu?
Huo muda mbona nitakuwa nimemkana Yesu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom