Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
35,765
Reaction score
86,446
Kuna binti hapa sio tu kaumbika no kakamilika idara zote kiasi kwamba hata nzi akimtulia kwenye mwili wake mi napata wivu

Tatizo sio kuumbika kwake,hivyo ni vivutio vya kitalii ambavyo nataka nikavifaidi ili kuitendea haki kazi ya bwana..
Tatizo ni udomo zege umenishika dhidi yake!

Nateseka juu yake,kula nakula lakini sishibi kwa sababu yake! Hata kunywa maji nakunywa lakini kiu hakiishi juu yake!.

Nikimsogelea maneno yananikimbia nabaki najiuma uma na kujikuna tu!.. na vile kabarikiwa tabasam ndo kabisa nikiliona mpaka mapigo yangu ya moyo yanachachamaa! Ni kama vile yananihukumu yananiambia "Leo Sasa!"

Msaada ndugu zanguni nifanyaje huu udomo zege niushinde?
 
WEKA UGORO KWENYE DOMO HILO UTAONGEA MWENYEWE
Una * ya uaminifu na ucha Mungu. Subiri ukiwa mkubwa uoe.
Haya mambo mengine tuachie sisi tusiocheka na lango kwenye eneo hatari.
Tafuta super glue kisha upake mdomoni mkuu . itaponya hilo tatizo lako
Komenti za hivi ndio huwa zinanifanya nipigwe Ban!

Mods hii ni haki kweli..?
Nikitukana hapa mnanifungia siku tano..😂😅

Halafu hapa atakuja na muhenga mwengine aniambie ati mvumilivu hula mbivu..!
Hizo kauli zilikuwa za awamu zilizopita sahivi ni jino kwa jino..😂
 
Komenti za hivi ndio huwa zinanifanya nipigwe Ban!

Mods hii ni haki kweli..?
Nikitukana hapa mnanifungia siku tano..😂😅

Halafu hapa atakuja na muhenga mwengine aniambie ati mvumilivu hula mbivu..!
Hizo kauli zilikuwa za awamu zilizopita sahivi ni jino kwa jino..😂

Mbona unaonekana una maneno mengi?

Unashindwa nini kuyatumia kwa huyo mwanamke?
 
Komenti za hivi ndio huwa zinanifanya nipigwe Ban!

Mods hii ni haki kweli..?
Nikitukana hapa mnanifungia siku tano..

Halafu hapa atakuja na muhenga mwengine aniambie ati mvumilivu hula mbivu..!
Hizo kauli zilikuwa za awamu zilizopita sahivi ni jino kwa jino..
 
Mbona unaonekana una maneno mengi?

Unashindwa nini kuyatumia kwa huyo mwanamke?
Hii mbona ni kahawa Mimi nimeistukia kitambo

Mtoa mada huwa ana bishana huko na huko katika majukwaa mbali mbali halafu hapa ana jifanya domo zege

Waweza kukuta Pm yake imejaa ..mpaka uwanja wa kuandikia text hakuna
 
Komenti za hivi ndio huwa zinanifanya nipigwe Ban!

Mods hii ni haki kweli..?
Nikitukana hapa mnanifungia siku tano..😂😅

Halafu hapa atakuja na muhenga mwengine aniambie ati mvumilivu hula mbivu..!
Hizo kauli zilikuwa za awamu zilizopita sahivi ni jino kwa jino..😂
hahahaha zinachosha
 
Mbona unaonekana una maneno mengi?

Unashindwa nini kuyatumia kwa huyo mwanamke?
He he! Hujui tu!
Jicho lake tu linatosha kunikausha haya maneno yote na hapo hajalirembua!!

Hata kama nikimuandikia barua lkn interview ya uso kwa uso lazima itakuwepo tu..😅
Nampenda mpaka nakosa la kusema juu yake!
 
Back
Top Bottom