Mkuu ungeweka na picha ya vidongr hivyo kama unayo ingekua rahisi sana kwa mtu anayeenda kununua.Kwa ww km shida ni nguvu tu mkuu nakushauri tumia Neuro support kwa muda wa miezi 3 mfululizo aisee utarejesha nguvu ya mwili mm ilifika kipindi nilikuwa sina nguvu kabisa but nilitumia kwa muda km huo kiukweli niliona mabadiliko makubwa sana.Dozi ya mwezi ni vidonge 30 ambayo ni 15,000
Mkuu matatizo yako yanafanana sana na yangu.Ni miaka saba sasa imepita tangu nipate tatizo hili la kuona na kusikia,macho yangu hayana maumivu ya aina yoyote, hayawashi, hayachomi wala hayanisumbui kwa chochote isipokuwa kutoona vizuri.
Masikio yenyewe hunipa usumbufu wa kutoa mwangwi ndani yake (yaani nikiongea najisikia) hasa naposimama kwa muda mrefu, napotembea juani sana, ninapokuwa na njaa ila nikikaa chini mwangwi hupotea au ninapogeuza shingo.
Matatizo mengine yanayoambatana na hili ni kupatwa na ganzi ktk ncha za vidole vyote vya mikono, Kukosa balance napokuwa natembea pamoja na kutokuwa na nguvu ya kutosha ya mwili.
TAFADHALI KAMA KUNA MWENYE UELEWA AU DAKTARI BINGWA NAOMBA MSAADA KUJUA TATIZO LANGU LINATIBIKA AU LA.
Ndugu mimi nina tatizo hilo la neva, linaweza kunifanya nisisikie kabisa au ubongo uchelewe kupata taarifa. Unakuta namuuliza mtu Unasemaje? Hapohapo najua alimaanisha nini, wengine wabaona nawafanyia kusudi. Kumbe ni tatizo kubwa.Dah aisee bora tufahamiane walau tusijione wapweke au tuliosahaulika na Mola.
Ipo siku tutarejea kwenye hali zetu za mwanzo naamini
Mdogo wako alitibiwa hadi akapona katika hospital gani na chini ya Dr gan?Mkuu kama hukuwa kiziwi wkt unazaliwa huwezi ukawa kiziwi ukiwa mkubwa
Ni excess pressure ktk canals,muone dr bingwa
Mdogo wangu alipona completely baada ya kuchukuliwa damu
Muhimbili hapo,nenda hospital yyt ya wilaya mwambie dr akuandikie rufaaMdogo wako alitibiwa hadi akapona katika hospital gani na chini ya Dr gan?
Shukrani mkuuWanatumia ndio mkuu,km unayo we nenda tu utahudumiwa kama mfalme wako vizuri hamna yale mambo sijui fumba jicho la kulia usome pale.
Pale kila kitu kidigitali unaambiwa weka macho kwenye hii mashine anaset kacha kacha herufi inahamia jicho moja mpaka jingine.
Ngoja tuangalie possubility tunawrza kufanya hivyo kwa kweli tukaweza kupeana experienceHili suala wakuu tulifungulie group la whatsapp ili tukatane huko mara kwa mara, kule itakuwa rahis zaidi watu kufunguka kwa uhuru.
Unamaanisha vidonge vya Neuroton?Kwa ww km shida ni nguvu tu mkuu nakushauri tumia Neuro support kwa muda wa miezi 3 mfululizo aisee utarejesha nguvu ya mwili mm ilifika kipindi nilikuwa sina nguvu kabisa but nilitumia kwa muda km huo kiukweli niliona mabadiliko makubwa sana.Dozi ya mwezi ni vidonge 30 ambayo ni 15,000
Sio neoroton mkuuUnamaanisha vidonge vya Neuroton?
Nilitumia sana hivi ila nikapona macho na ganzi tu.. Ila Masikio na body balance bado vinasumbuaView attachment 1206574
Tiba take ndio ipiHiyo ni peripheral Neuropathy yaani kama ni kutibu sijui macho au masikio utazunguka hospital zote.
nafikiri una tatizo kichwani linalopelekea milango ya fahamu kuathiriwa Ukilipatia ufumbuzi hilo kila kitu kitakaa sawa
[/QUOTE
Tatizo linaweza kuwa lipi labda.
Au matatizo gani ya kichwa yanasababishahii hali
Kama ni ya kurithi hakuna tibaTiba take ndio ipi
nae pia anatatizo la kukosa balanceKama ni ya kurithi hakuna tiba
Kama chanzo ni Vitamin B deficiency ndo kuna Neuroton,Neuro support na zingine nyingi
Nina ndugu yangu ana 15+yrs akipambana,kafanya CT Scan,MRI,na vipimo kibao lakini bado kwa sasa hatumii dawa yoyote kakubali matokeo tu.
Yeahnae pia anatatizo la kukosa balance