Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Habari wanajanvi,
Nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya mwili kila nikivaa viatu vya raba pia nguo zozote zisizokuwa za cotton.
Nasikia maumivu makali, napata ganzi mwili mzima. Ila nikivaa cotton na viatu tofauti na raba sipatwi na hiyo hali na ikiwepo ni kwa uchache sana.
Naomba msaada kama jinsi ya kutibu hii hali.
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya mwili kila nikivaa viatu vya raba pia nguo zozote zisizokuwa za cotton.
Nasikia maumivu makali, napata ganzi mwili mzima. Ila nikivaa cotton na viatu tofauti na raba sipatwi na hiyo hali na ikiwepo ni kwa uchache sana.
Naomba msaada kama jinsi ya kutibu hii hali.
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app