Nina maumivu ya mguu wa kushoto na nashindwa kuinama

Superleta

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
466
538
Nina wiki ya 4 sasa nasumbuliwa na maumivu ya mguu wa kushoto kuanzia kiunoni chini ya goti la kushoto mguuni panakua panakufa ganzi kabisa

Ninashindwa kuinama kabisa mfano kuokota kitu chini au kuinama nifunge kamba za viatu nashindwa

Nilienda hospital nikaishiwa kupewa pain killer tu hapa napata shida sana maana kuinama siwezi, pia hata kukaa baadhi ya mikao siwezi kama kukaa chini sakafuni nashindwa.

Chini miguuni panakufa ganzi nateseka sana nahisi sitokuja kupona maana hosptali niliishia kupewa pain killer tu

Sijui itakuaje huko mbeleni kuna ambaye amewahi kumbwa na tatizo kama langu?Nina miaka 26
 
Pole sna mkuu jaribu kwenda kwa wataalamu zaidi ,natumaini utapata ufumbuzi ,ila kuna dogo alikua anaumwa kama wewe ila yeye ni mwadhirika wa punyeto, ilifika hatua akawa anateguka nyonga kabisa ,kifundo cha mguu na chini upande kwenye gololi ya kitanga cha mguu. Mkuu pole sna mwone daktari kwa ushauri zaidi.
 
Sijui ndio wenyewe ila mi nilishasumbuliwa na ugonjwa huo, tunaita chango...

Chango ni ugonjwa unaojitikeza tu wenyewe unabana kuanzia kiunoni na miguu, unauma sana...

Msimu wa baridi ndio balaa...
 
Pole sna mkuu jaribu kwenda kwa wataalamu zaidi ,natumaini utapata ufumbuzi ,ila kuna dogo alikua anaumwa kama wewe ila yeye ni mwadhirika wa punyeto, ilifika hatua akawa anateguka nyonga kabisa ,kifundo cha mguu na chini upande kwenye gololi ya kitanga cha mguu. Mkuu pole sna mwone daktari kwa ushauri zaidi.
Alipona?
 
Sijui ndio wenyewe ila mi nilishasumbuliwa na ugonjwa huo, tunaita chango...

Chango ni ugonjwa unaojitikeza tu wenyewe unabana kuanzia kiunoni na miguu, unauma sana...

Msimu wa baridi ndio balaa...
Kabisa nikioga na maji ya baridi ndo balaa usiku ndo usiseme
 
Sijui ndio wenyewe ila mi nilishasumbuliwa na ugonjwa huo, tunaita chango...

Chango ni ugonjwa unaojitikeza tu wenyewe unabana kuanzia kiunoni na miguu, unauma sana...

Msimu wa baridi ndio balaa...
Kwa mwanaume hiyo unayosema wee, ni pumbu zinazama ndani, na anakua km mgonjwa wa degedege lile lisilokomaaa.

Na haitaki baridi kweliii, baridi ikiwa kalii inapeleka haswaa.

Huyu ni kitu kingine.
 
Sijui ndio wenyewe ila mi nilishasumbuliwa na ugonjwa huo, tunaita chango...

Chango ni ugonjwa unaojitikeza tu wenyewe unabana kuanzia kiunoni na miguu, unauma sana...

Msimu wa baridi ndio balaa...
Uwe makini muone haraka niro sajeni ,MOI
 
Nina wiki ya 4 sasa nasumbuliwa na maumivu ya mguu wa kushoto kuanzia kiunoni chini ya goti la kushoto mguuni panakua panakufa ganzi kabisa

Ninashindwa kuinama kabisa mfano kuokota kitu chini au kuinama nifunge kamba za viatu nashindwa

Nilienda hospital nikaishiwa kupewa pain killer tu hapa napata shida sana maana kuinama siwezi, pia hata kukaa baadhi ya mikao siwezi kama kukaa chini sakafuni nashindwa.

Chini miguuni panakufa ganzi nateseka sana nahisi sitokuja kupona maana hosptali niliishia kupewa pain killer tu

Sijui itakuaje huko mbeleni kuna ambaye amewahi kumbwa na tatizo kama langu?Nina miaka 26

Pole kwa kuumwa,

Kwa jinsi ulivyojieleza, hii inaitwa Lumbago with Sciatica. Inatokana na kujeruhiwa kwa mshipa wa fahamu unaoleta mawasiliano kwenye mguu uiteao scitic nerve.

Dalili huusisha:
1: Maumivu makali
2: mguu kufa ganzi
3: misuli kuvuta
4: mguu kupata shoti kama ya umeme

NB: Unaweza kupata madhira kwa maeneo tofauti kulingana na eneo lililoathiriwa kwenye neva husika. Mfano: kidole kimoja cha mguu, msuli mmoja wa paja au grupu la misuli, mbele au nyuma. Ukaaji kuwa ni wa kuibia kwa sehemu katikati ya tako kuwa inazidisha maumivu ikiguswa.

Kuna sababu mbalimbali:
1: kuminywa kwenye usawa wa kiuno
2: kuminywa na misuli usawa wa tako.
3: maambukizi kama virusi au chochote kinachoweza kusababisha mahipa husika wa fahamu kututumka/kuvimba.
4: kujeruhiwa wakati wa kazi za kuinama na kuinuka

Kazi huwa ni kutafuta chanzo na kiasi cha madhira. Vipimo hutegemea zaidi na historia ya chanzo, hii huusisha:
1: Xray
2: CT scan
3: MRI

Tiba huusisha:
1: Dawa za maumivu ya kawaida
2: Dawa za maumivu yahusuyo mishipa ya fahamu.
3: Cold vs hot compression/kukanfa na baridi au joto.
4: Mazoezi
5: Mwisho ni upasuaji.

Uponaji huweza kuchukua wiki 2 mpaka miezi miwili kulingana na:
1: kiasi cha madhira
2: Tiba sahihi kulingana na tatizo
3: kuondolewa kwa chanzo cha tatizo

NB: Fika kituo chenye uwezo mkubwa na madaktari wa ngazi ya juu zaidi ili kufanyiwa tathmini nzuri na tiba.
 
Pole kwa kuumwa,

Kwa jinsi ulivyojieleza, hii inaitwa Lumbago with Sciatica. Inatokana na kujeruhiwa kwa mshipa wa fahamu unaoleta mawasiliano kwenye mguu uiteao scitic nerve.

Dalili huusisha:
1: Maumivu makali
2: mguu kufa ganzi
3: misuli kuvuta
4: mguu kupata shoti kama ya umeme

NB: Unaweza kupata madhira kwa maeneo tofauti kulingana na eneo lililoathiriwa kwenye neva husika. Mfano: kidole kimoja cha mguu, msuli mmoja wa paja au grupu la misuli, mbele au nyuma. Ukaaji kuwa ni wa kuibia kwa sehemu katikati ya tako kuwa inazidisha maumivu ikiguswa.

Kuna sababu mbalimbali:
1: kuminywa kwenye usawa wa kiuno
2: kuminywa na misuli usawa wa tako.
3: maambukizi kama virusi au chochote kinachoweza kusababisha mahipa husika wa fahamu kututumka/kuvimba.
4: kujeruhiwa wakati wa kazi za kuinama na kuinuka

Kazi huwa ni kutafuta chanzo na kiasi cha madhira. Vipimo hutegemea zaidi na historia ya chanzo, hii huusisha:
1: Xray
2: CT scan
3: MRI

Tiba huusisha:
1: Dawa za maumivu ya kawaida
2: Dawa za maumivu yahusuyo mishipa ya fahamu.
3: Cold vs hot compression/kukanfa na baridi au joto.
4: Mazoezi
5: Mwisho ni upasuaji.

Uponaji huweza kuchukua wiki 2 mpaka miezi miwili kulingana na:
1: kiasi cha madhira
2: Tiba sahihi kulingana na tatizo
3: kuondolewa kwa chanzo cha tatizo

NB: Fika kituo chenye uwezo mkubwa na madaktari wa ngazi ya juu zaidi ili kufanyiwa tathmini nzuri na tiba.
Asante.sana kuna dawa za kuchua nililetewa hapa nimeanza kuchua kuna kaunafuu ila still mambo bado
 
Asante.sana kuna dawa za kuchua nililetewa hapa nimeanza kuchua kuna kaunafuu ila still mambo bado
Mkuu hili tatizo linanitesa haswa,yaan nikitembea mpka vidole nifinye chini ,kwenye unyayo km kuna ganzi.

Vipi ulipata chochote au hospital to share wote???0715 378899
 
Back
Top Bottom