Mwami Atale
Member
- Aug 29, 2021
- 67
- 180
Short story huenda ikawa na msaada:
Mimi pia nilikuwa muhanga wa hicho kitu........ Malezi nilopewa nyumbani yalichangia pakubwa kuwa hvyo, maisha yangu yote ya ukuaji nilikuwa mtu wa kukaa sana ndani Sina marafiki, mkimya kupitiliza, aibu nyingi Sana N.k
Baada ya kufaulu vzr O-level, nikapangiwa shule ya advance amby n day na ilikuwa changanyikeni.... Hapo ndipo character ilibadirika moja kwa moja!!!
Kwanza nilichojifunza,,, marafiki utakaochagua kuwa nao kweny maisha baada ya muda lazima utaendana nao zaidi ya 40%
Hii ilinitokea baada ya kufika shuleni nikapata rafiki mmoja aliyekuwa na masihara mengi sana, muongeaji kupitiliza..... (Yule jamaa alinibadirisha tabia mpk leo)
Kuna huu usemi wa dawa ya moto ni moto ( n formula nzuri sana ya kukabiliana na tatzo lako), nikimaanisha dawa ya aibu ni aibu kubwa.
Twende pamoja🤝
Shule nilosoma ndani ya week moja darasa zima walifaham kuwa mm ninaaibu kupitiliza.... Basi walianza kunitania sana na hyo ndo ikawa tiba kwangu!!!
Walinigeuza mdoli wao hasa watoto wa kike (bro mwezi na nusu ulikuwa mwng Sana nishakuwa jangili utadhan nimezaliwa Tandale kwa tumbo)
KUONGEZEA: Kuna muda nilianza kuuza nguo mnadani tena sehemu ambayo nnafahamika ....... Hii pia ilimaliza aibu yote ilokuw imesalia maana ilikuwa ikifika jioni tunaanza kupiga debe la ... Oya oyah oyaaaah tajiri kalewa bei buku buku, mjamzito anapata bure😂😂😂😂🤣🤣
Kama unaweza jaribu hii mbinu..... Fanya shughul ambayo jamii inaidharau, mfano kuchoma mahindi, kuokota makopo😂😂 (ila hapa skushaur Sana japo hii ndo baba lao), kutembeza nguo, au kuwa hata machinga sehemu yenye watoto wazuri halafu uwe unavaa kama umetoka migodi ya geita.... halafu ukitaka matokeo ya haraka fanya sehemu ambayo watu wanakuheshimu!!!!
Ukiweza kuvumilia fedheha mwezi mmoja, aibu lazima iondoke.🚶🚶
Dawa ya aibu n aibu bwana!!!!
Mimi pia nilikuwa muhanga wa hicho kitu........ Malezi nilopewa nyumbani yalichangia pakubwa kuwa hvyo, maisha yangu yote ya ukuaji nilikuwa mtu wa kukaa sana ndani Sina marafiki, mkimya kupitiliza, aibu nyingi Sana N.k
Baada ya kufaulu vzr O-level, nikapangiwa shule ya advance amby n day na ilikuwa changanyikeni.... Hapo ndipo character ilibadirika moja kwa moja!!!
Kwanza nilichojifunza,,, marafiki utakaochagua kuwa nao kweny maisha baada ya muda lazima utaendana nao zaidi ya 40%
Hii ilinitokea baada ya kufika shuleni nikapata rafiki mmoja aliyekuwa na masihara mengi sana, muongeaji kupitiliza..... (Yule jamaa alinibadirisha tabia mpk leo)
Kuna huu usemi wa dawa ya moto ni moto ( n formula nzuri sana ya kukabiliana na tatzo lako), nikimaanisha dawa ya aibu ni aibu kubwa.
Twende pamoja🤝
Shule nilosoma ndani ya week moja darasa zima walifaham kuwa mm ninaaibu kupitiliza.... Basi walianza kunitania sana na hyo ndo ikawa tiba kwangu!!!
Walinigeuza mdoli wao hasa watoto wa kike (bro mwezi na nusu ulikuwa mwng Sana nishakuwa jangili utadhan nimezaliwa Tandale kwa tumbo)
KUONGEZEA: Kuna muda nilianza kuuza nguo mnadani tena sehemu ambayo nnafahamika ....... Hii pia ilimaliza aibu yote ilokuw imesalia maana ilikuwa ikifika jioni tunaanza kupiga debe la ... Oya oyah oyaaaah tajiri kalewa bei buku buku, mjamzito anapata bure😂😂😂😂🤣🤣
Kama unaweza jaribu hii mbinu..... Fanya shughul ambayo jamii inaidharau, mfano kuchoma mahindi, kuokota makopo😂😂 (ila hapa skushaur Sana japo hii ndo baba lao), kutembeza nguo, au kuwa hata machinga sehemu yenye watoto wazuri halafu uwe unavaa kama umetoka migodi ya geita.... halafu ukitaka matokeo ya haraka fanya sehemu ambayo watu wanakuheshimu!!!!
Ukiweza kuvumilia fedheha mwezi mmoja, aibu lazima iondoke.🚶🚶
Dawa ya aibu n aibu bwana!!!!