Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

Hii Hali inawakumba watu Wengi sana duniani,lakini hayo mawazo umejijengea wewe mwenyewe kwamba Kuna kitu unaogopa lakini hujui ni nini? ukiwa nyumbani uko sawa ila ukianza kukutana na watu unagundua kwamba huwezi kudumu katika maongezi. Hali hiyo inatesa sana Kwa sababu inakutenganisha na watu sana,wakati ndio wakati unataka kufanya koneksheni na watu wengi sana upate maarifa na ufahamu,hiyo Hali inakuzuia,Cha kufanya chunguza mazingira Yako,Kuna Yale mahusiano unayajuwa kwamba huyataki lakini yanalazimishwa kuwepo,achana nayo,hayo yanakuzuia kukua, mshirikishe Mungu maana shetani ana njia nyingi za kumteka mtu bila kujuwa na muda unaenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na avute bange kidogo
Bange simshauri ila ajitahidi kukaza huwa kunaporomosha zigo la aibu na aache nyeto kama mdau alivyoshauri. Ukiwa mpole sana kuna namna hata pisi zinakuona kipengele ona hii. Huyu ni dear classmate 😅
IMG_20240315_153537.JPG
 
Nina tatizo kama lako

Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka

Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....

Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.

Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo
Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.

But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
 
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
Ndio maana mnanimind sana ninavyo zichakata pisi nyingi nyingi kumbe nawachakatia na zenu.

To remind you ni kwamba aibu haitoki kwa wivu juu ya wanaume wenzio wala papuchi
 
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
Inaonekana husex vya kutosha.😀
 
Nina tatizo kama lako

Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka

Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....

Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.

Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo
Jitahidi wallet ijae.
 
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.

Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.

Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.

Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.

Msaada tafadhali wa kimawazo.
Ukiweza kuacha kutumia kiswanglish kama slay queens wa bongo movie ndo utaweza kuacha hizo aibu za kike.
 
Back
Top Bottom