Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 7,948
- 25,005
Mzeee tekenya bangi punguza nyeto
Acha tu DarlinWatu wasiri nyie😆😆😆
Kumbe na wewe ni mule mule
Ailete niichane ndo hatakuwa na aibu tenaUna bikra? Kama ipo kaitoe fasta
Bange simshauri ila ajitahidi kukaza huwa kunaporomosha zigo la aibu na aache nyeto kama mdau alivyoshauri. Ukiwa mpole sana kuna namna hata pisi zinakuona kipengele ona hii. Huyu ni dear classmate 😅Na avute bange kidogo
Acha ulegevu mtoto wa kiumeNo. Nikinywa hata bia moja kichwa kinauma sana miguu inaisha nguvu. Siku nzima naumwa
Pole sana.Nina tatizo kama lako
Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka
Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....
Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.
Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo
Ndio maana mnanimind sana ninavyo zichakata pisi nyingi nyingi kumbe nawachakatia na zenu.Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Inaonekana husex vya kutosha.😀Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.
Jitahidi wallet ijae.Nina tatizo kama lako
Nikaenda kwa psychologist nikajua nitapata labda dawa fulani, au kitu flani cha haraka
Nikashangaa anashauri the obvious; acha nyeto, tafuta outlets(sports, nenda church nk), jilazimishe kuwa karibu na watu, tengeneza ratiba ya siku na uifate, fanya mazoezi....
Najaribu nashindwa, psychologist nae nikaanza kumuonea aibu nishamtema.
Hapo kwenye 'jiamini tu' 'jilazimishe' pagumu hapo
Ukiweza kuacha kutumia kiswanglish kama slay queens wa bongo movie ndo utaweza kuacha hizo aibu za kike.Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba.
Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko vilevile na ndio kwanza inazidi kukua.
Huwa nawaza hivi siku nafunga ndoa mimi nitafanyaje? Naamini kabisa sitaweza kusimama mbele za watu.
Hivi kuna jambo lolote naweza fanya ili kuondoa hali hii kweli? As a man hadi najikuta nahisi kuna kitu nimekosa.
Msaada tafadhali wa kimawazo.