Msaada: Nimetapeliwa kupitia mtandao!

Msaada: Nimetapeliwa kupitia mtandao!

inyele

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
1,661
Reaction score
1,303
Habari wakuu

Ninajishughulisha na biashara ya m- pesa na tigo pesa ( haina mda mrefu) ambapo kwa siku za nyuma niliajiri kijana aliyehudumia hapo hadi mwisho wa mwezi wa pili 28/02/2019. Baada ya huyo kijana kudai anataka kwenda kwao kusalimia nililazimika kutafuta mtu wa kusimamia ofisi! Nilipata kijana mwingine ambaye alianza rasmi kazi 01/03/2019 nikiwa naye nikimpa maelekezo namna ya kuendesha biashara.

Juzi tarehe 03 nilisafiri kidogo kwenda kuona familia na kumwacha peke yake Jana alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama tigo makao makuu na kumpa taarifa juu ya laini ya tigo (till)kuwa usajili haujakamilika na kumweleza kuwa lain inaweza kufungwa na kumtaka akamilishe usajili huyo jamaa alimpanga dogo kwa kumpa maelekeo mara kadhaa na kufanikiwa kutumiwa pesa kutoka tigo pesa, na hatimaye kumchoa kwenye M-Pesa pia.

Dogo alifanya miamala mara kadhaa bila kujua kwa kufuata maelekezo ya huyo jamaa anayejiita huduma kwa wateja makao makuu baada ya kugundua kuingizwa kingi alinipa taarifa SAA tatu usiku nkalazimika kuja Leo kufatilia na kubaini utapeli uongo.

Nilipiga simu vodacom wakaniambia pesa ilitolewa ndani ya dakika tano na wakanijbu hawana msaada mwingine kwani pesa ikishatolewa hawana uwezo kwa kuirudisha

Nilienda polisi kuripoti na kuandikiwa RB na kuambiwa nirudi kesho yake ili nipewe mpelelezi wa suala langu!
SWALI: Je, kuna uwezekano wa kufuatilia hadi kwa wakala aliyetoa pesa na kumkamata mhalifu?
Je, ni changamoto zipi ninaweza kupata katka kutoa ushahidi kwani hizo tills zote hazijasajiliwa kwa majina yangu kwani nilinunua kwa watu( mawakala wanazoziuza)?
.
.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole,,hapo utazunguka kupoteza muda na pesa ila kufanikiwa ni aslimia 0.009%

Hapo anza upya. ,hao wezi mwisho wao huwa mbaya sana,,,muombe Mungu akupe amani mana hela zinatafutwa though najua inauma sanaaaa
 
Habari wakuu
Ninajishughulisha na biashara ya m- pesa na tigo pesa ( haina mda mrefu) ambapo kwa siku za nyuma niliajiri kijana aliyehudumia hapo hadi mwisho wa mwezi wa pili 28/02/2019. Baada ya huyo kijana kudai anataka kwenda kwao kusalimia nililazimika kutafuta mtu wa kusimamia ofisi! Nilipata kijana mwingine ambaye alianza rasmi kazi 01/03/2019 nikiwa naye nikimpa maelekezo namna ya kuendesha biashara,,
Juzi tarehe 03 nilisafiri kidogo kwenda kuona familia na kumwacha peke yake,
Jana alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama tigo makao makuu na kumpa taarifa juu ya laini ya tigo (till)kuwa usajili haujakamilika na kumweleza kuwa lain inaweza kufungwa na kumtaka akamilishe usajili...
Huyo jamaa alimpanga dogo kwa kumpa maelekeo mara kadhaa na kufanikiwa kutumiwa pesa kutoka tigo pesa, na hatimaye kumchoa kwenye m- pesa pia,,
Dogo alifanya miamala mara kadhaa bila kujua kwa kufuata maelekezo ya huyo jamaa anayejiita huduma kwa wateja makao makuu
Baada ya kugundua kuingizwa kingi alinipa taarifa SAA tatu usiku nkalazimika kuja Leo kufatilia na kubaini utapeli huo,,,
Nilipiga simu vodacom wakaniambia pesa ilitolewa ndani ya dakika tano na wakanijbu hawana msaada mwingine kwani pesa ikishatolewa hawana uwezo kwa kuirudisha,,
Nilienda polisi kuripoti na kuandikiwa RB na kuambiwa nirudi kesho yake ili nipewe mpelelezi wa suala langu!
SWALI: Je, kuna uwezekano wa kufuatilia hadi kwa wakala aliyetoa pesa na kumkamata mhalifu?
Je, ni changamoto zipi ninaweza kupata katka kutoa ushahidi kwani hizo tills zote hazijasajiliwa kwa majina yangu kwani nilinunua kwa watu( mawakala wanazoziuza)?
.
.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo mzuri
lakini kesi ikifika polisi,matokeo ya majibu yako huwa yanachelewa Sana
utapotezewa Muda wako bure!

tukija upande wa pili,Ni lazima tuwakomeshe hao wezi!.

nenda makao makuu wa mtandao husika.
upelelezi na ufuatiliaji uanze
na kupitia tracking naweza amini mtafanikisha kuwanasa na kujua location yao.

japo, cdhan Kama Laine itakuwa online Tena!!

MWISHO KABISA Kama pesa iliyochomolewa haizidi 1million
it's better usamehe na ufanye mengine

MWISHO wa wezi Siku zote huwa mbaya.
japo ki UKWELI wanakwamisha na kurudisha watu nyuma mno.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana mkuu.... iv hapa albadili haifanyi kazi jamani
 
Habari wakuu
Ninajishughulisha na biashara ya m- pesa na tigo pesa ( haina mda mrefu) ambapo kwa siku za nyuma niliajiri kijana aliyehudumia hapo hadi mwisho wa mwezi wa pili 28/02/2019. Baada ya huyo kijana kudai anataka kwenda kwao kusalimia nililazimika kutafuta mtu wa kusimamia ofisi! Nilipata kijana mwingine ambaye alianza rasmi kazi 01/03/2019 nikiwa naye nikimpa maelekezo namna ya kuendesha biashara,,
Juzi tarehe 03 nilisafiri kidogo kwenda kuona familia na kumwacha peke yake,
Jana alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama tigo makao makuu na kumpa taarifa juu ya laini ya tigo (till)kuwa usajili haujakamilika na kumweleza kuwa lain inaweza kufungwa na kumtaka akamilishe usajili...
Huyo jamaa alimpanga dogo kwa kumpa maelekeo mara kadhaa na kufanikiwa kutumiwa pesa kutoka tigo pesa, na hatimaye kumchoa kwenye m- pesa pia,,
Dogo alifanya miamala mara kadhaa bila kujua kwa kufuata maelekezo ya huyo jamaa anayejiita huduma kwa wateja makao makuu
Baada ya kugundua kuingizwa kingi alinipa taarifa SAA tatu usiku nkalazimika kuja Leo kufatilia na kubaini utapeli huo,,,
Nilipiga simu vodacom wakaniambia pesa ilitolewa ndani ya dakika tano na wakanijbu hawana msaada mwingine kwani pesa ikishatolewa hawana uwezo kwa kuirudisha,,
Nilienda polisi kuripoti na kuandikiwa RB na kuambiwa nirudi kesho yake ili nipewe mpelelezi wa suala langu!
SWALI: Je, kuna uwezekano wa kufuatilia hadi kwa wakala aliyetoa pesa na kumkamata mhalifu?
Je, ni changamoto zipi ninaweza kupata katka kutoa ushahidi kwani hizo tills zote hazijasajiliwa kwa majina yangu kwani nilinunua kwa watu( mawakala wanazoziuza)?
.
.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Poie ndg yangu! kwenye maelezo yako umesema ulimpanga dogo na ukamfundisha kila kitu...... kwa ufahamu wangu na nyakati tulizonazo nilijuwa kubwa zaidi ni kumpanga dogo kuhusu hawa matapeli..... kwani kumzidishia mteja au kumpunja ni ajali za kawaida ila ilibidi udeal kumwelekeza kuhusu hawa wapigaji ambao wapo kama njugu kaka hilo ndo lilikuwa kubwa! Pole khs pesa zako nenda makao makuu ya mtandao husika japo jumba bovu litmwangukia wakala alietoa pesa.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu
Ninajishughulisha na biashara ya m- pesa na tigo pesa ( haina mda mrefu) ambapo kwa siku za nyuma niliajiri kijana aliyehudumia hapo hadi mwisho wa mwezi wa pili 28/02/2019. Baada ya huyo kijana kudai anataka kwenda kwao kusalimia nililazimika kutafuta mtu wa kusimamia ofisi! Nilipata kijana mwingine ambaye alianza rasmi kazi 01/03/2019 nikiwa naye nikimpa maelekezo namna ya kuendesha biashara,,
Juzi tarehe 03 nilisafiri kidogo kwenda kuona familia na kumwacha peke yake,
Jana alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama tigo makao makuu na kumpa taarifa juu ya laini ya tigo (till)kuwa usajili haujakamilika na kumweleza kuwa lain inaweza kufungwa na kumtaka akamilishe usajili...
Huyo jamaa alimpanga dogo kwa kumpa maelekeo mara kadhaa na kufanikiwa kutumiwa pesa kutoka tigo pesa, na hatimaye kumchoa kwenye m- pesa pia,,
Dogo alifanya miamala mara kadhaa bila kujua kwa kufuata maelekezo ya huyo jamaa anayejiita huduma kwa wateja makao makuu
Baada ya kugundua kuingizwa kingi alinipa taarifa SAA tatu usiku nkalazimika kuja Leo kufatilia na kubaini utapeli huo,,,
Nilipiga simu vodacom wakaniambia pesa ilitolewa ndani ya dakika tano na wakanijbu hawana msaada mwingine kwani pesa ikishatolewa hawana uwezo kwa kuirudisha,,
Nilienda polisi kuripoti na kuandikiwa RB na kuambiwa nirudi kesho yake ili nipewe mpelelezi wa suala langu!
SWALI: Je, kuna uwezekano wa kufuatilia hadi kwa wakala aliyetoa pesa na kumkamata mhalifu?
Je, ni changamoto zipi ninaweza kupata katka kutoa ushahidi kwani hizo tills zote hazijasajiliwa kwa majina yangu kwani nilinunua kwa watu( mawakala wanazoziuza)?
.
.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole nyingi. Mimi huwa siyo mpenzi wa ''mwachie Mungu na ujipange upya'' kama wengi wanavyosema. Hii tabia ya kukata tamaa na kutotaka kufuatilia mambo imetamalaki hapa Tanzania na ndiyo maana utapeli unazidi kuwa tatizo. Wengi hawajui kuwa kukamata mwizi ni muhumu kuliko hata kurudishiwa mali iliyoibwa. Mimi nakushauri jaribu tena kurudi polisi upewe mpelelezi na uone atakavyosema. Kama utaona ana dalili zozote za kutaka rushwa mwambie huna uwezo. Ikiwezekana, kama fedha zilizoibiwa siyo nyingi mwambie mwambie wewe nia yako ni kukamata hao matapeli ili waadhibiwe na hata kama atawakamata anaweza kuzichukuwa fedha kama zawadi. Kwa uzoefu wa polisi ni kuwa wengi wanapoona kesi ya utapeli ambayo kuna uwezekano wa kuwapata wahalifu huwa wanaichangamkia bila hata kupewa rushwa kwani wanajua wakiweza kuwakamata watawahonga. Mwisho inabidi ujifunze kutokana na kosa. Unapoajiri mtu sehemu kama hizo unabidi umfundishe mbinu za kazi na usimwache mwenyewe wakati akiwa mgeni. Na zaidi chunguza kama huyo aliyesema anaenda kusalimia ndiye aliyekwenda kufanya yake. Na pia hata huyo mgeni anaweza kuwa ''mgeni mjanja''. Siku hizo hasa Dar, kuna vijana wengi, wake kwa waume ni matapeli lakini hujivika majoho ya ''kutafuta kazi'' na mara wanapoajiriwa wanafanya yao.
 
Haya ameyasema muheshimiwa Rais juzi,kuwa kwenye jeshi la Polisi kuna udhaifu mkubwa,angalia comments za watu hapo juu,kila mmoja baada ya kujua kesi iko polisi wanashauri aachane na hilo jambo asonge mbele na misha yake...
 
Habari wakuu
Ninajishughulisha na biashara ya m- pesa na tigo pesa ( haina mda mrefu) ambapo kwa siku za nyuma niliajiri kijana aliyehudumia hapo hadi mwisho wa mwezi wa pili 28/02/2019. Baada ya huyo kijana kudai anataka kwenda kwao kusalimia nililazimika kutafuta mtu wa kusimamia ofisi! Nilipata kijana mwingine ambaye alianza rasmi kazi 01/03/2019 nikiwa naye nikimpa maelekezo namna ya kuendesha biashara,,
Juzi tarehe 03 nilisafiri kidogo kwenda kuona familia na kumwacha peke yake,
Jana alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama tigo makao makuu na kumpa taarifa juu ya laini ya tigo (till)kuwa usajili haujakamilika na kumweleza kuwa lain inaweza kufungwa na kumtaka akamilishe usajili...
Huyo jamaa alimpanga dogo kwa kumpa maelekeo mara kadhaa na kufanikiwa kutumiwa pesa kutoka tigo pesa, na hatimaye kumchoa kwenye m- pesa pia,,
Dogo alifanya miamala mara kadhaa bila kujua kwa kufuata maelekezo ya huyo jamaa anayejiita huduma kwa wateja makao makuu
Baada ya kugundua kuingizwa kingi alinipa taarifa SAA tatu usiku nkalazimika kuja Leo kufatilia na kubaini utapeli huo,,,
Nilipiga simu vodacom wakaniambia pesa ilitolewa ndani ya dakika tano na wakanijbu hawana msaada mwingine kwani pesa ikishatolewa hawana uwezo kwa kuirudisha,,
Nilienda polisi kuripoti na kuandikiwa RB na kuambiwa nirudi kesho yake ili nipewe mpelelezi wa suala langu!
SWALI: Je, kuna uwezekano wa kufuatilia hadi kwa wakala aliyetoa pesa na kumkamata mhalifu?
Je, ni changamoto zipi ninaweza kupata katka kutoa ushahidi kwani hizo tills zote hazijasajiliwa kwa majina yangu kwani nilinunua kwa watu( mawakala wanazoziuza)?
.
.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole fuatilia utapata aliyetoa Ni Nani kwani Ni lazima kwa wakala Kuna namba ya kitambulisho na saini ya mteja aliyetoa pesa
 
Haya ameyasema muheshimiwa Rais juzi,kuwa kwenye jeshi la Polisi kuna udhaifu mkubwa,angalia comments za watu hapo juu,kila mmoja baada ya kujua kesi iko polisi wanashauri aachane na hilo jambo asonge mbele na misha yake...
AENDE akiwa amevaa vizuri Sana halafu vingereza Kama vya kwetu kgr uone Kama hajahudumiwa fasta
 
Habari wakuu
Ninajishughulisha na biashara ya m- pesa na tigo pesa ( haina mda mrefu) ambapo kwa siku za nyuma niliajiri kijana aliyehudumia hapo hadi mwisho wa mwezi wa pili 28/02/2019. Baada ya huyo kijana kudai anataka kwenda kwao kusalimia nililazimika kutafuta mtu wa kusimamia ofisi! Nilipata kijana mwingine ambaye alianza rasmi kazi 01/03/2019 nikiwa naye nikimpa maelekezo namna ya kuendesha biashara,,
Juzi tarehe 03 nilisafiri kidogo kwenda kuona familia na kumwacha peke yake,
Jana alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama tigo makao makuu na kumpa taarifa juu ya laini ya tigo (till)kuwa usajili haujakamilika na kumweleza kuwa lain inaweza kufungwa na kumtaka akamilishe usajili...
Huyo jamaa alimpanga dogo kwa kumpa maelekeo mara kadhaa na kufanikiwa kutumiwa pesa kutoka tigo pesa, na hatimaye kumchoa kwenye m- pesa pia,,
Dogo alifanya miamala mara kadhaa bila kujua kwa kufuata maelekezo ya huyo jamaa anayejiita huduma kwa wateja makao makuu
Baada ya kugundua kuingizwa kingi alinipa taarifa SAA tatu usiku nkalazimika kuja Leo kufatilia na kubaini utapeli huo,,,
Nilipiga simu vodacom wakaniambia pesa ilitolewa ndani ya dakika tano na wakanijbu hawana msaada mwingine kwani pesa ikishatolewa hawana uwezo kwa kuirudisha,,
Nilienda polisi kuripoti na kuandikiwa RB na kuambiwa nirudi kesho yake ili nipewe mpelelezi wa suala langu!
SWALI: Je, kuna uwezekano wa kufuatilia hadi kwa wakala aliyetoa pesa na kumkamata mhalifu?
Je, ni changamoto zipi ninaweza kupata katka kutoa ushahidi kwani hizo tills zote hazijasajiliwa kwa majina yangu kwani nilinunua kwa watu( mawakala wanazoziuza)?
.
.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huyo jamaaa alinipigia tigo akijifanya muhudumu,"eti nimejishundia 300,000 kutoka tigo,ila niweke 35,000 kwenye account yangu harafu kuna minamba kanitajia nibonyeze,aisee nilimtukana sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poie ndg yangu! kwenye maelezo yako umesema ulimpanga dogo na ukamfundisha kila kitu...... kwa ufahamu wangu na nyakati tulizonazo nilijuwa kubwa zaidi ni kumpanga dogo kuhusu hawa matapeli..... kwani kumzidishia mteja au kumpunja ni ajali za kawaida ila ilibidi udeal kumwelekeza kuhusu hawa wapigaji ambao wapo kama njugu kaka hilo ndo lilikuwa kubwa! Pole khs pesa zako nenda makao makuu ya mtandao husika japo jumba bovu litmwangukia wakala alietoa pesa.!

Sent using Jamii Forums mobile app
umenena mnyalukolo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom