Ukipata Live cd ya Linux au ukiinstall linux along side Windows kwishney unaingia na linux unapekua folder lock na mafile yako yote unayatoa bila fujo yeyote unayahamisha then unaweza ifuta afu ukaiweka upya with a new password. Sidhan kama unaweza ku reset hapo. Again ningekua karibu mkuu nina Live ya linux kwa Xternal 2ngerekebisha nkakuwekea na Version 1 ya Linux win ikizingua unaingia na linux kwisha habhari yake. But niko mbali kidogo nw. Tafta linux 2 kama files ni very important, kama ni porn iteme 2 u'll get others :lol: