Msaada: Nimesahau password ya simu yangu

Msaada: Nimesahau password ya simu yangu

mwanamimi

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2017
Posts
265
Reaction score
181
Wakuu, nategemea mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu kama kawaida.

Wakuu simu yangu nilibadili password kwa bahati mbaya nilisahau password mpya niliyoiweka. Nimeshidwa kuifungua, naombeni msaada wa jinsi ya ku-unlock simu hiyo. Model ya simu in Wiko Lenny 4 plus.
 
Kabla ya kufanya chochote zima simu kwanza. Inazimika ubinye power botton hadi izmike,au kama unashindwa ubinye button ya power na v- hadi izime. Kama ni simu ya button mbele inatakiwa ubinye volume up+ power button simulteneously mpaka itokee either gear au android logo au maandishi madogo ya rangi ya blue.

Then utumie v+ kuselect mpaka ufike reset to factory setting, subiri mpaka iandike complete, then select tena clear cache halafu subiri tena, then chagua reboot, subiri mpaka iwake na ufanye tena setting ya simu.
 
Kabla ya kufanya chochote zima simu kwanza. Inazimika ubinye power botton hadi izmike,au kama unashindwa ubinye button ya power na v- hadi izime. Kama ni simu ya button mbele inatakiwa ubinye volume up+ power button simulteneously mpaka itokee either gear au android logo au maandishi madogo ya rangi ya blue.

Then utumie v+ kuselect mpaka ufike reset to factory setting, subiri mpaka iandike complete, then select tena clear cache halafu subiri tena, then chagua reboot, subiri mpaka iwake na ufanye tena setting ya simu.
Mkuu nimefika hapo ila nikiweka kwenye reboot ila inagoma.ngoja nijaribu sasa nitakuletea mrejesho.
 
Asante kwa ushauri wako. Ikishindikana hard resert nitaipeleka kwa fundi kesho
 
Wakuu, nategemea mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu kama kawaida.

Wakuu simu yangu nilibadili password kwa bahati mbaya nilisahau password mpya niliyoiweka. Nimeshidwa kuifungua, naombeni msaada wa jinsi ya ku-unlock simu hiyo. Model ya simu in Wiko Lenny 4 plus.
Basi fanya hard reset ila huwezi okoa chochote humo
Kumbuka kuna vitu muhimu anavyo kwenye simu yake kwahiyo hataki kuvipoteza. Hiyo njia yako ni hard reset kwahiyo atafuta kila kitu na pia atakutana na FRP kwahiyo kama atakuwa tayari kupoteza data zake sawa. Kwenye hardware haujanipata vizuri. Nimesema atafute fundi mwenye box na hardware yake na siyo crack ili aweze kutoa lock ya simu tu na data zake zikiwa salama. Hiyo simu nishakutana nayo baada ya mtu kufanya hard reset akakutana na FRP. Email na password havikumbuki
Kuokoa matatizo kama hayo penda kusave vitu vyako muhimu kupitia Google Drive ina GB 15 za free unaweka humo kuondokana na stress kama hizi.
 
Kumbuka kuna vitu muhimu anavyo kwenye simu yake kwahiyo hataki kuvipoteza. Hiyo njia yako ni hard reset kwahiyo atafuta kila kitu na pia atakutana na FRP kwahiyo kama atakuwa tayari kupoteza data zake sawa. Kwenye hardware haujanipata vizuri. Nimesema atafute fundi mwenye box na hardware yake na siyo crack ili aweze kutoa lock ya simu tu na data zake zikiwa salama. Hiyo simu nishakutana nayo baada ya mtu kufanya hard reset akakutana na FRP. Email na pasword havikumbuki
Kesho ataleta mrejesho ila lazima apoteze kitu ili simu ipone
 
Mkuu nisaidie hapa kwenye kuset email nimesahau nataka kuweka nyingine inawezekana?
Haiwezekani ingekuwa rahisi kama unajua hata email yako alafu password ndio umesahau hapo ni kuflash tu au ujanja mmoja vipi ni process kuifanya itoke hiyo email
 
Back
Top Bottom