fradomontz
New Member
- Jul 27, 2025
- 2
- 0
Naitwa Frank Donald Mwakanosya, nmepoteza vyeti vyangu vyote cha form4,form6,chuo,transcript na cha kuzaliwa. Vyote vilikuwa kwenye bahasha sababu nlitoka kufanya interview
Kareport kwanza polisi upewe loss report ulinzi wako endapo vitaoneka eneo tukio la uhalifu umefanyikaNaitwa Frank Donald Mwakanosya, nmepoteza vyeti vyangu vyote cha form4,form6,chuo,transcript na cha kuzaliwa. Vyote vilikuwa kwenye bahasha sababu nlitoka kufanya interview
Lost report tayari nimetoa...shukrani sana nmekuelewaKareport kwanza polisi upewe loss report ulinzi wako endapo vitaoneka eneo tukio la uhalifu umefanyika
Ukimaliza tangaza kwenye gazeti na redio na pia influence wa mitandao ila kwenye redio huwa bei rahisi na gazzete
Kama hujapata asee mwezi ujao nenda necta watakupa utaribu ambao ni loss report pamoja na kutangaza kwenye gazette juu upotevu huo baada ya hapo wataanza kushughulia kesi yako hapo kesi hiyo kuja kuisha mwakani necta wako very sensitive mtu akipoteza vyeti lazima waprove ni wewe kweli na ulisoma kweli au muhuni tu
Hicho cha kuzaliwa ukiwa na hela ni fasta tu rita cha chuo .transcript sio issue nayo
Goodlucky..