sahihi kabisa hizo ni dalili za coronaMimi nilikua natafuna tangawizi nzima ya mia 200 na kumeza bila sikia harufu yoyote.. ila nilikuja kua sawa baadae hope usiwe #Uviko19
Mwili unachemka mara nyingi usikupole sana mkuu wangu..naomba nikuulize maswali machache
●je hupati homa?(mwili kuchemka)...
pole sana mkuu wangu..naomba nikuulize maswali machache
●je hupati homa?(mwili kuchemka)
●Je hujaugua mafua au kikohozi hivi karibuni?....
mkuu binafsi mimi ni group O rhesus factor positiveBaadhi ya wanaougua COVID wanakuwa na very mild symptoms. Huyu anaweza kuwa na hizo mbili tu za kupoteza taste na sense of smell. Hawa mara nyingi huu ugonjwa hauwaathiri sana. Sijui siri ni nini lakini niliwahi kusoma kwamba baadhi ya watu wenye blood group O COVID haiwasumbui sana.
Halafu kuna harufu fulani kali sana unaisikia inatoka kinywani ikiambatana na makohozi ...???Ndugu zangu takriban ninasiku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
Nenda kafanye check up mkuu wanguna upate matibabu kabisa.Mwili unachemka mara nyingi usiku
*Nakohoa ila sio Sana
*Sina maumivu yeyote
Tatizo Ni joto kupanda na kukosa harufu na taste viungo viko sawa ila mwiri haujachangamka
Ndugu zangu takriban ninasiku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
mkuu binafsi mimi ni group O rhesus factor positive
na hilo ulilolisema inaweza kuwa sahihi kabisa...
Dah.... Ultra Viena India Kilo Omega 100% 🤭Ndugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
Unaweza kuziandika hapa kwa faida ya wengi Dr ,ubarikiwenenda kafanye check up mkuu wanguna upate matibabu kabisa
kama ukiwa tayari niko lazi nikuandikie dawa ambazo tunazitumia kutibu corona pt...ambazo hata mm nazitumia mpaka muda huu
Wewe una Corona, COVID 19 yaani.Mwili unachemka mara nyingi usiku
*Nakohoa ila sio Sana
*Sina maumivu yeyote
Tatizo Ni joto kupanda na kukosa harufu na taste viungo viko sawa ila mwiri haujachangamka
Wewe ni Dr. halafu unaumwa???mkuu binafsi mimi ni group O rhesus factor positive
na hilo ulilolisema inaweza kuwa sahihi kabisa...
tafadhali, jitenge na wenzako, tumia barakoa, kula malimao, machungwa, tangawizi, azuma na vitamin C kwa wingi. fanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha muda wote. utanishukuru!Ndugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?