project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,533
Wakuuu naomba msaada nimekuwa nikipata discharge kwenye penzi nyeupe na mbaya zaidi mke wangu naye amekuwa akipata discharge nyeupe kama maziwa mgando yenye harufu.
Tulienda duka la dawa mke wangu akapewa azuma na tenedazole na mimi nikapewa azuma ila tulipata unafuu kidogo ila baada ya wiki ugonjwa ukarudi. Tukaenda tena tukachoma sindano moja moja kila mtu za power safe tukapata unafuu tena kama wiki shida ikarudi tena juzi tumeenda tena tumechomwa sindano mbili mbili kila mmoja juzi moja moja na jana moja moja.
Naomba msaada nitumie na dawa gani hii shida iishe?
Tulienda duka la dawa mke wangu akapewa azuma na tenedazole na mimi nikapewa azuma ila tulipata unafuu kidogo ila baada ya wiki ugonjwa ukarudi. Tukaenda tena tukachoma sindano moja moja kila mtu za power safe tukapata unafuu tena kama wiki shida ikarudi tena juzi tumeenda tena tumechomwa sindano mbili mbili kila mmoja juzi moja moja na jana moja moja.
Naomba msaada nitumie na dawa gani hii shida iishe?